[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najua kwenye hiyo list Saidi Fella na Babu Tale hawakosi.
For the first time nakuona umeandika Uzi wako hongera kwa HiloMke wa aliyekua meneja wa yamoto band,said fella anayejulikana kwa jina la sweet fella ametishia kuanika majina ya mastaa wanaotumia mkorogo wake sababu hawamtangazi kama wanavyowatangaza wafanyabiashara wa mawigi na nguo wavaazoView attachment 1269489
Utakuta Mastaa wenyewe ni Amber Ruty, Mlela, Hemed,
Utakuta Mastaa wenyewe ni Amber Ruty, Mlela, Hemed,
shosti kwani huyu mchina wa bongo alishaachika kwa bwana diwani ?? 😶😶Mke wa aliyekua meneja wa yamoto band,said fella anayejulikana kwa jina la sweet fella ametishia kuanika majina ya mastaa wanaotumia mkorogo wake
Kiufupi wewe sio mtu ambaye unaandikaga Sana nyuzi hapa jamviniAiseee wee jamaa join year 2019 am here since 2016 kama hujaona nyuzi zangu sema nikuelekeze zilipo uzione