Kitivo cha Sheria JF!!!

Kitivo cha Sheria JF!!!

MaxShimba

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
35,771
Reaction score
4,065

Wakuu wa JF

Is there any posibilities of having legal department here at JF? Kiwe kitengo cha kuzungumzia Sheria mbalimbali ili tuweze kuleta Mawakili, Majaji Mbalimbali kwenye forum hii ya JF. Natanguliza shukrani.

God bless JF

Max Shimba
 

Wakuu wa JF

Is there any posibilities of having legal department here at JF? Kiwe kitengo cha kuzungumzia Sheria mbalimbali ili tuweze kuleta Mawakili, Majaji Mbalimbali kwenye forum hii ya JF. Natanguliza shukrani.

God bless JF

Max Shimba


Yap, it will help alot. Legal ndio mwendo wenyewe hivi sasa, kila unapokwenda unaulizwa kama unawakili.

I think they should put this into consideration.

Thanks Max for your vision

 

Yap, it will help alot. Legal ndio mwendo wenyewe hivi sasa, kila unapokwenda unaulizwa kama unawakili.

I think they should put this into consideration.

Thanks Max for your vision

Working onto it... Kuna Forum ya Science and Technology iko under construction, hizi zinaandaliwa mazingira tofauti. Tupe muda tu!
 
Hapo hapo mkuu ndio penyewe....jamani tatizo langu mie ni sheria..tu
uku tunakamatwa kamatwa bila mpango kwa kutojua haki zetu....

Keep it up and let it run.
 
Hapo tuta enjoy sana. Wako wenzetu wakina Agustoons watatusaidia hapa kwa habari za legal issues. Tutajenga kesi na kuwasaidia watu katika haki zao.
Mungu akubariki Max
 
Hapo tuta enjoy sana. Wako wenzetu wakina Agustoons watatusaidia hapa kwa habari za legal issues. Tutajenga kesi na kuwasaidia watu katika haki zao.
Mungu akubariki Max


Ni kweli kabisa. Naamini jukwa hilo litakuwa msaada mkubwa kwa watu wengi kimaisha. Maana siku hizi bila sheria mafisadi watatumakiza.

Ubarikiwe Mkuu Max


 

Ni kweli mkuu, tunahitaji mapinduzi ya sheria.

 

Ni kweli mkuu, tunahitaji mapinduzi ya sheria.

Haya majukwaa inabidi yakianzishwa yawe na uendeshaji tofauti na yanahitaji moderators wake maalumu, ndio maana tunajiandaa badala ya kukurupuka kuyaanzisha. Tupeni wiki hii tu
 
Haya majukwaa inabidi yakianzishwa yawe na uendeshaji tofauti na yanahitaji moderators wake maalumu, ndio maana tunajiandaa badala ya kukurupuka kuyaanzisha. Tupeni wiki hii tu
Tumeanzisha hili jukwaa rasmi, naomba litumike kuwaelimisha wengi basi.

Namna yoyote ya kuingiza mijadala isiyoendana na jukwaa hili haitavumiliwa.
 
Back
Top Bottom