kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
kwi kwi kwi!! elimu za kata zinawafundisha nini nyie vijana ?hivi hilo neno hapo juu lina maana gani?Ina maana wewe umesoma chuo ambacho kinaongoza kuwa na tayila wa kufa mtu.Kwani UDSM kuna kipi cha ajabu.Kuna mwanasheria yeyote hapo UDSM ambaye ametunga sheria kama siyo kutungwa na Bunge ambalo linawatu wengi ambao hawakuwai soma sheria just form 4 to form and 6.
kwi kwi kwi!! elimu za kata zinawafundisha nini nyie vijana ?hivi hilo neno hapo juu lina maana gani?
yupo mwanasheria mmoja aliyesimamia kutunga sheria !!! anaitwa samweli sitta!
kilichokuwa kinazungumzwa ni miaka ya kitivo au uhuru wa tanganyika?
kama ni kitivo cha sheria na jubilee yake
anybody can represent so long anajua historia ya kitivo cha sheria
yawezekana ni kiongozi wa UDLS ana haki hiyo sijui unachopinga ni nn
Mm niko nchi za watu huku na nimeshahudhuria matamasha na mikutano kuwakilisha kitivo na chuo ninachosoma sasa mm ni mzawa???
nimesomahapo UDSM kitivo cha sheria nakielewa vema ndugu
acha ubaguzi wa kijinga usiokuwa wa kisomi
kwi kwi kwi!! elimu za kata zinawafundisha nini nyie vijana ?hivi hilo neno hapo juu lina maana gani?
yupo mwanasheria mmoja aliyesimamia kutunga sheria !!! anaitwa samweli sitta!
Kitivo cha sheria UDSM wameadhimisha miaka 50 lakini ni aibu tupu.Leo kupitia TBC 1 kipindi cha This week in Perspective kinachoendeshwa na Adam Sembaye.
Kilichonishangaza kuwa panels ambaye amewawakilisha wanafunzi ni Mganda(ugandan) Peter Kamya duh!Sasa nimejiuliza amekosekana mwanafunzi wakitanzania kuja hapo na kuongelea mada hiyo.WATANZANIA TUNAJIAIBISHA WENYEWE tutakuja hata kuwaita waje watuongoze.
Kitivo cha sheria UDSM wameadhimisha miaka 50 lakini ni aibu tupu.Leo kupitia TBC 1 kipindi cha This week in Perspective kinachoendeshwa na Adam Sembaye.
Kilichonishangaza kuwa panels ambaye amewawakilisha wanafunzi ni Mganda(ugandan) Peter Kamya duh!Sasa nimejiuliza amekosekana mwanafunzi wakitanzania kuja hapo na kuongelea mada hiyo.WATANZANIA TUNAJIAIBISHA WENYEWE tutakuja hata kuwaita waje watuongoze.
Sir, How did you kill 50
people in a
car accident? The police
man
asked?, He replied: i was
driving 40mph, when i tried to
stop i
found out that i have no
breaks,
and i saw two men
walking on the street and a wedding on
the
other side of the street,
who
should i hit? The police
man answered: of course the
two
men,less damage. Man
said: that's what i
thought to
myself, but when i did it, i hit only
one and the other one
ran to the wedding, SO I
WENT
AFTER HIM..