Kitu cha kufanya pale unapoona wazo lako la biashara halikamiliki

Kitu cha kufanya pale unapoona wazo lako la biashara halikamiliki

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Kwa asilimia kubwa watu wengi wanaoanzisha biashara mara nyinyi huwa tayari wameshafanya utafiti kuhusu soko la biashara,eneo la kufanyia biashara na hata kujua mahitaji ya wateja

Pamoja na kufanya hayo yote lakini bado utakuta biashara nyingi zinakufa au haziendi kwa kasi inayotakiwa

Wafanyabiashara wengi huwa wanaanzisha biashara huku wakitegemea mapokezi makubwa au maoni kutoka kwa watu wengi hapa ndio wanapokosea

Nini cha kufanya?

Kufanikiwa kwenye biashara yoyote ni rahisi sana
Anzisha biashara weka mipango mizuri ya biashara yako lakini focus zaidi katika kusikiliza wateja wanasemaje
Siku zote kwenye biashara angalia faida kwanza atayopata mteja kabla haujaangalia wewe

Tayari umeshajua mahitaji ya wateja sasa katika hayo mahitaji ya wateja
Mara nyingi wateja nao huwa wanatoa maoni kitu gani kiongezwe au kipunguzwe
Hapa usipuuze hata kama ni mteja mmoja mana tayari anawakilisha kundi kubwa la wateja wanaohitaji maboresho ya huduma unayotoa
 
Back
Top Bottom