Kitu cha kufanya ukinywa pombe hata ziwe kali usilewe sana

Kitu cha kufanya ukinywa pombe hata ziwe kali usilewe sana

sixgates

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
3,979
Reaction score
1,665
Wakuu huwa najiuliza kwa nini baadhi ya watu wakinywa pombe hata kidogo hulewa wengine hata wanywe kreti moja hubakia strong.

Kuna dawa ama namna ya kufanya mtu ukinywa pombe kali usilewe? Na ni kwanini baadhi ya watu hulewa haraka wengine hawalewi?

Nawasilisha
 
Mi nilifikiri ungetumia wasaa huu kutueleza pombe na madhara yake hasa kiuchumi, kibaiolojia na kiimani.
 
Sababu zipo nyingi lakini ni pamoja na
1. Uzito wa mwili wako-wenye uzito mkubwa wanachelewa kulewa and vice versa.
2.Magonjwa na matatizo mbalimbali ya mwili.
3.Uzoefu-kama ni mnywaji wa miaka mingi mwili unakua umezoea pombe hivyo hautolewa haraka,kama ndio umeanza jana light beer moja tu inatosha kukulegeza.
3.Kunywa maji-Ukiwa unakunywa maji wakati unakunywa pombe utachelewa kulewa sababu pombe yeyote inakausha maji mwilini -dehydrating agent,wakati maji ni rehydrating agent.
4. Chakula- Mtu aliyeshiba vizuri anachelewa kulewa and vice versa.
5...
Mwenye nyingine atatujuza zaidi.
By the way..kuna uhusiano wa leo sikukuu na post hii..ha ha ha!
Wenye nyingine wata
 
Mi nilifikiri ungetumia wasaa huu kutueleza pombe na madhara yake hasa kiuchumi, kibaiolojia na kiimani.

Mkuu mimi ni mtu ninaeamini katika kujifunza kila wakati, na maisha yangu mpaka nakufa napenda niwe mwanafunzi. Nimeshajifunza madhara ya pombe tayari leo nataka kujifunza jambo jingine. Ndio maana nkaja na thread ya aina hii
 
Sababu zipo nyingi lakini ni pamoja na
1. Uzito wa mwili wako-wenye uzito mkubwa wanachelewa kulewa and vice versa.
2.Magonjwa na matatizo mbalimbali ya mwili.
3.Uzoefu-kama ni mnywaji wa miaka mingi mwili unakua umezoea pombe hivyo hautolewa haraka,kama ndio umeanza jana light beer moja tu inatosha kukulegeza.
3.Kunywa maji-Ukiwa unakunywa maji wakati unakunywa pombe utachelewa kulewa sababu pombe yeyote inakausha maji mwilini -dehydrating agent,wakati maji ni rehydrating agent.
4. Chakula- Mtu aliyeshiba vizuri anachelewa kulewa and vice versa.
5...
Mwenye nyingine atatujuza zaidi.
By the way..kuna uhusiano wa leo sikukuu na post hii..ha ha ha!
Wenye nyingine wata

Hahaha nashukuru mkuu, umetisha. Just a curiosity.
 
Nusa kwapa na ule ndimu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hahhaa mkuu nyie ndio watu mnaofanya watu wasiamini dawa hata km kweli.

Ndo nakuambia hivyo linuse kwapa tena hakikisha hujaoga tangia asubuhi,hata ukipiga crate 7 hulewi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
yaani na bei ya pombe ilivyokwenda juu bado kuna watu wanazungumzia ulabu tuu mi nilishaacha kunywa siku nyingi.
 
yaani na bei ya pombe ilivyokwenda juu bado kuna watu wanazungumzia ulabu tuu mi nilishaacha kunywa siku nyingi.
wewe hujaacha kunywa ila umekimbia kwa sababu ya bei, mlevi haogopi bei, iula mleta mada swat kamaliza cha kuongeza ni kuwa usinywe kwa pupa, mdo mdo ndo mpango.
 
Back
Top Bottom