IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Ni baada ya wale wafanyakazi 8 wa halmashauri hii kutimuliwa na madiwani wakidhaniwa kuwa walihujumu sh, bilion 1, pesa za walipa kodi, sasa serikali imeamuru warudishwe kazini,hiyo imethibitika baada ya kupokea barua toka ikulu, jambo la kushangaza barua hii imebainisha kuwa madiwani wa Tarime walikosea kuwasimamisha kazi hao wafanyakazi,
Swali la kujiuliza hapa ni vipi serikali ipinge maamuzi ya wale madiwani wakati hao ndiyo waliothibitisha upotevu huu wa pesa hizi?
Kwani ikiwa jimbo linaongozwa na vyama pinzani maamuzi yake si sahihi kwa maslahi ya Taifa hili?
Wana JF hili mnalionaje?
Ni baada ya wale wafanyakazi 8 wa halmashauri hii kutimuliwa na madiwani wakidhaniwa kuwa walihujumu sh, bilion 1, pesa za walipa kodi, sasa serikali imeamuru warudishwe kazini,hiyo imethibitika baada ya kupokea barua toka ikulu, jambo la kushangaza barua hii imebainisha kuwa madiwani wa Tarime walikosea kuwasimamisha kazi hao wafanyakazi,
Swali la kujiuliza hapa ni vipi serikali ipinge maamuzi ya wale madiwani wakati hao ndiyo waliothibitisha upotevu huu wa pesa hizi?
Kwani ikiwa jimbo linaongozwa na vyama pinzani maamuzi yake si sahihi kwa maslahi ya Taifa hili?
Wana JF hili mnalionaje?
Ni baada ya wale wafanyakazi 8 wa halmashauri hii kutimuliwa na madiwani wakidhaniwa kuwa walihujumu sh, bilion 1, pesa za walipa kodi, sasa serikali imeamuru warudishwe kazini,hiyo imethibitika baada ya kupokea barua toka ikulu, jambo la kushangaza barua hii imebainisha kuwa madiwani wa Tarime walikosea kuwasimamisha kazi hao wafanyakazi,
Swali la kujiuliza hapa ni vipi serikali ipinge maamuzi ya wale madiwani wakati hao ndiyo waliothibitisha upotevu huu wa pesa hizi?
Kwani ikiwa jimbo linaongozwa na vyama pinzani maamuzi yake si sahihi kwa maslahi ya Taifa hili?
Wana JF hili mnalionaje?
zipo kanuni za utumishi wa umma ambazo zinapaswa kufuatwa katika masuala haya. si suala la madiwani kukaa tu na kuamua kumfukuza mtu kazi. kwani hao madiweani walikuwa mwajiri wa watumishi hao? wamepata wa[i nguvu za kuwafukuza kazi?