ndegeulaya
Member
- Apr 26, 2011
- 74
- 13
Kwaito mambo yote mkuu hata kama sichezi napenda kuangalia,Babylon club iko pande zipi ?Daah! Ebana wadau, hivi nani anaweza nkumbusha kitu cha "jaiving" enzi zile za sunday-school, afu tukalinganisha na hii kitu yao humu wao wanaita "Kwaito" cjui kitu gani vile, naona ma'raia wanagonga step ile mbaya hapa ndani ya babylon club, hahaa ....!
Kwaito mambo yote mkuu hata kama sichezi napenda kuangalia,Babylon club iko pande zipi ?
asante nikija huko nitapita,niko Dar sisi hucheza Bil's,Maisha,Masai na San Ciiro.Babylon club ni pande za A-town mkuu na mambo ya "TGIF", karibu sana ..!
asante nikija huko nitapita,niko Dar sisi hucheza Bil's,Maisha,Masai na San Ciiro.
Savanna ndio mambo yote!asante nikija huko nitapita,niko Dar sisi hucheza Bil's,Maisha,Masai na San Ciiro.
Savanna ndio mambo yote!
Duh! Savanna hiyo si ni kinywaji mkuu, au
Daah! Ebana wadau, hivi nani anaweza nkumbusha kitu cha "jaiving" enzi zile za sunday-school, afu tukalinganisha na hii kitu yao humu wao wanaita "Kwaito" cjui kitu gani vile, naona ma'raia wanagonga step ile mbaya hapa ndani ya babylon club, hahaa ....!