Kitu gan kikienda juu Kina miguu minne na kikirudi chin kina miguu mitatu?

Tanwise

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
466
Reaction score
1,033
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,

Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.

Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?

Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu?

Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!.

Unadhani mzungu aliendelea kuuliza maswali??
 
yaan huyu jamaa alimnyonga mjomba ake, kauzu sanaπŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Mmhh dogo ni tishio kumbe hata ndugu zake anawa chenjia Trump ajipange.
 
Mtanzania hatua kumi mbele hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…