Kitu gani cha kijinga umewahi kukifanya kwenye uhusiano?

Aisee !!!!
 
Write your reply...aliniambia niache bangi nikawa nakataa maana ameikuta and weed is life siku moja sipo akiwa yupo ghetto akasachi akakuta box langu ninalohifadhia misokoto akalichoma moto


hakika nilipiga mtu kipigo cha mbwa mwitu nilipiga kisawasawa daah kipigo heavy
 
Nmecheka hadi machozi
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema, kwa upande wangu hakuna ila nilikiona kwa rafiki yangu, alimnunulia mpenzi wake gari ikiwa yeye mwenyewe hana.

Uhusiano wao haukudumu baada ya huyo mpenzi wake kumsaliti rafiki yangu vipi kwa upande wako?
Niliwahi kumuandikia barua ya mapenz baada ya Gem kila nikimtegea atoke kwao hatoki nikenda kuirusha dirishani kwa chumba chake kumbe mama ake yuko humo ndani jioni nikaona ugeni wa wazee wake wanakuja home wote shuhuli ilikua pevu hadi kupatikana maelewano ya wazeee
 
Form 2 mawazo makubwa hivi.Ndo mana alifeli@Castr,
 
kwenda kujitambulisha kwao single mother kama sharti lakupewa nyapu,mapenzi yakadumu kwa mwaka mzima asee,siku nampiga chini yule mtoto wakinyaturu nilikoswa visu kama vyote maana alikuja na braza zake wawili,isingekua walinzi wa ofisin hata sijui kama ningekuwa hai leo.
 
Pole
 
Nilitongoza demu nipo o level akanitukana sana mpaka mtaa mzima wakajua
 
Kuna demu nilitongoza kwa barua halafu alikuwa ananiazima daftari la history alinijibu kwa dharau sikupendi wala sikutaki
 
Kula denda huu upuuzi sifanyi tena abadani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…