Manzi mpya alifikaga gheto kwa mara ya kwanza ni chalii tu age ya wale tunao waendea Miaka 30 prison ile kumchojoa magwanda flesh ila cha ajabu kutoa gemu akawa anazingua kinyama ad vilio Nkaona icwe tabu Nikachukua Nivea Nikaweka kwenye kiganja Nkapiga mkono mbele yake Ila baada ya kumtoa nilijiona boya kiwango cha standard geji kwa kitendo nilicho kifanya
Nmecheka hadi machoziWrite your reply...aliniambia niache bangi nikawa nakataa maana ameikuta and weed is life siku moja sipo akiwa yupo ghetto akasachi akakuta box langu ninalohifadhia misokoto akalichoma moto
hakika nilipiga mtu kipigo cha mbwa mwitu nilipiga kisawasawa daah kipigo heavy
Niliwahi kumuandikia barua ya mapenz baada ya Gem kila nikimtegea atoke kwao hatoki nikenda kuirusha dirishani kwa chumba chake kumbe mama ake yuko humo ndani jioni nikaona ugeni wa wazee wake wanakuja home wote shuhuli ilikua pevu hadi kupatikana maelewano ya wazeeeKama kichwa cha habari kinavyosema, kwa upande wangu hakuna ila nilikiona kwa rafiki yangu, alimnunulia mpenzi wake gari ikiwa yeye mwenyewe hana.
Uhusiano wao haukudumu baada ya huyo mpenzi wake kumsaliti rafiki yangu vipi kwa upande wako?
Na mtoto unae tena na kofia yuko fresh tuKuendekeza nyapu wakati nina mke mzuri tu
Na mtoto unae tena na kofia yuko fresh tu
Polekwenda kujitambulisha kwao single mother kama sharti lakupewa nyapu,mapenzi yakadumu kwa mwaka mzima asee,siku nampiga chini yule mtoto wakinyaturu nilikoswa visu kama vyote maana alikuja na braza zake wawili,isingekua walinzi wa ofisin hata sijui kama ningekuwa hai leo.