Kitu gani cha luxury umepanga kununua ukipata mkwanja?

Kiwanja ekari 5~10 kwa dar es salaam, naandaa 50~10Mil
 
dah mimi sijui nina matatizo au ndi natakiwa niwe hivyo, yaani mimi siwazagi vitu vya starehe kabisa, nawazaga kuhusu project mpya tuuu, nikipata hela ni gari nyingine ya kazi, nyumba nyigine zaidi ya kukodisha, mashamaba mengine zaidi ya kukodisha, yaani revenue inaongezeka hata mara 10 lakini consumption yangu ipo palepale tu kidogo, yaani naweza fariki sijafurahia maisha kabisa
 
jiongeze mkuu. kuna familia unakuta dingi ana pesa lakkini watoto washamba na walafi/waroho. ni ishu kama hizo.
 
jiongeze mkuu. kuna familia unakuta dingi ana pesa lakkini watoto washamba na walafi/waroho. ni ishu kama hizo.
dah ila kwangu naona kama imekua too much kidogo, yaani hata kununua nguo mpya kwangu naona vigumu sanaaa,
 
Range rover vogue sport.....nikimiliki iyo hata nikifa kwenye Dunia sawa...ila nikifa kabla ya kumiliki nitasikitika sana aiseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…