Sasa hapo ni siri yako au siri yenu na mamdogo...
Hongera kwa kuwa na secretNi Siri Yangu Maana Mama Mdogo asingeweza ku hadithia Maana ni Aibu
But mm Ningeweza ku hadithia Ila niliamua ku make secret
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni siri yangu! Nikikuambia haitakuwa siri tena 😀 😀 😀 !Nikitu gani chaajabu/kijinga ulicho Wahi Kufanya Mpaka leo imebaki siri Yako lkn ukikumbuka unacheka na kujiuliza ilikuwaje
Naanza na mm nilimuona Mama Mdogo kaingia Toilet Enzi hizo Yeye hakuniona
Nikasubiri kafunga mlango na Kuanza shughuli
Nikatoka nduki like natumbo la kuharisha na Kufungua mlango wa Chooni bila kubisha nikamshihudia Akishusha mzigo[emoji3][emoji3]
Aliruka na kufunga mlango Faster nilisepa Room kwangu na kuangua kicheko balaa
Okay let's listen you guys [emoji116]
View attachment 1403392
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za foolish age kuna dada nilimtongoza akanipiga chini.
Nikawa naenda kumpiga chabo usiku, kwetu ni kijijini, hivyo kutoka kwetu mpaka kwao ni kama kilomita 3, alikuwa analala chumba cha pembeni ya nyumba hivyo shughuli ilikuwa rahisi sana.
Nimempiga chabo sana, namjua juu mpaka chini japo alininyima kizibo.
Now umri umeenda, Nikifikiriaga nacheka sana.
Unforgetable
X³
kwanza niambie jinsia yako maana umri wako nimeshaujuaHahaha Ulikuwa unakula Kwa macho I cant Imagine Mayai Ulio dondosha Kila Unapo piga chapo