Mimi nafikiria wakiruhusu malaya na kuwatoza kodi umalaya yaani ukahaba yaani watapunguza kujiuza madada poa kama itakuwa ruksa na kutakiwa kulipa kodi - uchangudoa utapungua Kwa kiwango kikubwa
Bangi pia ikipitishwa na ziuzwe kwa kulipishwa kodi na mvutaji alipe kodi pia itapunguza vichaa wengi mtaani
Uchawi utambulike kiserikali na ikitokea mtu kamloga mtu ashitakiwe Kwa sheria na katiba ya nchi- tutapinguza kasi nyingi ya misukule na kutiana ulemavu na ukichaa
Na mengine kibao