Kwenye picha chini ni mvulana wa miaka 10 kutoka Ghana aliyekufa kwa Saratani. Wazazi wake hawakuwa na pesa ya matibabu hivyo alikaa nyumbani hadi hali yake ilipokua mbaya zaidi, na kubaki na siku chache za kuishi.
Akiwa hospitalini, aliomba hsopitali imsaidie kutimiza ndoto yake ya kupanda ndege kabla hajafa. Hospitali hiyo ilimsaidia kutimiza ndoto yake.
Hisia ya kujua kwamba utakufa hivi karibuni inavunja sana moyo wangu💔
Akiwa hospitalini, aliomba hsopitali imsaidie kutimiza ndoto yake ya kupanda ndege kabla hajafa. Hospitali hiyo ilimsaidia kutimiza ndoto yake.
Hisia ya kujua kwamba utakufa hivi karibuni inavunja sana moyo wangu💔