Kitu gani kinakukera ukienda kutibiwa hospitalini?

Kitu gani kinakukera ukienda kutibiwa hospitalini?

libeva

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
4,465
Reaction score
3,615
Ukienda kupata matibabu Zahanati/Kituo cha Afya/Hospitali ya Wilaya/ Hospitali ya Rufaa au Mkoa/ Hospitali ya Kanda na Hospitali ya Taifa Muhimbili kitu gani kina kukera ili Wizara ichukue hatua kurekebisha tatizo hilo kwa kusaidia unaweza taja hata sehemu husika ili utatuzi ufanyike.
 
🤔
FB_IMG_16708599538458828.jpg
 
Back
Top Bottom