Siku izi kumekua na hali ya kupata shida ya kupata watoto/mtoto kwa wanandoa ambao wameingia kwenye ndoa bila ya kua na mtoto,,Hata kama wote wawili hawana matatizo bado utakuta ni shida...Kunani?
Siku izi kumekua na hali ya kupata shida ya kupata watoto/mtoto kwa wanandoa ambao wameingia kwenye ndoa bila ya kua na mtoto,,Hata kama wote wawili hawana matatizo bado utakuta ni shida...Kunani?
Kula vyakula vyenye afya vya asili. Achana na chips mayai na kuku wa siku 60 na bia zisizo na kipimo.daah mtoa mada kanigusa mm nimejaribu mwezuliopita kumpamimba mkewangu nikajua tayari cha ajabu ananiambia ameonasiku zake jana! Nimechoka ile mbaya nifanyeje? Ila nampoto mmoja.
Afya yenyewe ya chipa mayai na mbaya zaidi ngono inafanywa kila siku!!! Siyo rahisi hata kidogo.Mkuu umenena. Kupata watoto limekuwa ni tatizo la ndoa nyingi. Mi mwenyewe ndoa yangu ina mwaka na ushee sasa bado hakijaeleweka. Nimeenda hosp kufanya seminal analysis nimeambiwa nipo safi, mke wangu amepima ameambiwa ana upungufu wa homorne lakini wamesema siyo tatizo kubwa sana. Mpaka muda nashindwa sijui nifanyeje.
yawezekana utumiaji wa njia za uzazi wa mpango kabla ya kufunga ndoa.
The secretary! Umenena haki.yawezekana utumiaji wa njia za uzazi wa mpango kabla ya kufunga ndoa.
The secretary! Umenena haki.
Nawashauri kabla ya kuoa!Aidha mpigane mimba qanza
Ama mzalishane kabsaaa.
Bazazi!
daah mtoa mada kanigusa mm nimejaribu mwezuliopita kumpamimba mkewangu nikajua tayari cha ajabu ananiambia ameonasiku zake jana! Nimechoka ile mbaya nifanyeje? Ila nampoto mmoja.
daah mtoa mada kanigusa mm nimejaribu mwezuliopita kumpamimba mkewangu nikajua tayari cha ajabu ananiambia ameonasiku zake jana! Nimechoka ile mbaya nifanyeje? Ila nampoto mmoja.
ni PM number yako tuongee kakaMkuu umenena. Kupata watoto limekuwa ni tatizo la ndoa nyingi. Mi mwenyewe ndoa yangu ina mwaka na ushee sasa bado hakijaeleweka. Nimeenda hosp kufanya seminal analysis nimeambiwa nipo safi, mke wangu amepima ameambiwa ana upungufu wa homorne lakini wamesema siyo tatizo kubwa sana. Mpaka muda nashindwa sijui nifanyeje.