Aliniambia mwenzio nakupenda nipo tayari kunywa sumu kwa ajiri yako
Nikamwambia thibitisha, alafu nikaenda kuoga.
Aisee eti kanywa kweli sumu😂😂
Alafu wakati anamalizia pumzi yake ya mwisho nikamwambia mbona mi nilikua natania tu.
UPDATE
Nahisi Kuna mtu amedukua ID yangu🤔