Kitu gani ni dhambi???

Kitu gani ni dhambi???

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,253
Reaction score
11,626
Naomba mnisamehe ndugu zangu...Hii akili ya 1947 ime-jam!

Hivi kwa mazingira yetu ya sasa ya dot com, ufisadi, ulegelege wa wakulu (Maranya kaita urojo rojo), uzembe, umbeya, kupigana mabao, kungonoka zaidi ya wanyama na kila aina ta ya vituko....kitu gani tunaweza kusema kuwa ni dhambi??

Naona kama huu msamiati sinao tena ingawa walau nachukia uongo (ukiacha ule uongo uliobarikiwa tunaotumia mimi na bibi)!!


Babu DC (1947)
 
Nadhani kila ambacho sio haki kumtendea mwenzako/wenzako!!!

Yote ambayo yanafahamika na kukubalika kwamba ni mabaya kwa kiasi kikubwa (na wengi) hata kama na wenyewe wanayashiriki!
 
Babu hebu fafanua zaidi dhambi kwa nani? Maana kuna
Dhambi kwa mpenzi/mwenzi/spouse,
Dhambi kwa mwajiri/waajiri
Dhambi kwa MUNGU

Sasa sijui unataka dhambi ipi Babu yangu..........................
 
Nadhani kila ambacho sio haki kumtendea mwenzako/wenzako!!!

Yote ambayo yanafahamika na kukubalika kwamba ni mabaya kwa kiasi kikubwa (na wengi) hata kama na wenyewe wanayashiriki!

Hahahah Lizzy umesema sawa mie naona nami kama Babu akili ya uzeeni imechakachuka siku hizi,,,,,,,,,,nlijua kumgomea kufanya kazi mwajiri kwa kuwa sina mafuta/daladala hazendi na hakuna umeme ni sawa; kumchapa kibao fisadi ni sawa kumbe ningechemka!!
 
Nadhani kila ambacho sio haki kumtendea mwenzako/wenzako!!!

Yote ambayo yanafahamika na kukubalika kwamba ni mabaya kwa kiasi kikubwa (na wengi) hata kama na wenyewe wanayashiriki!

Lizzy,

Ni yapi hayo?? Nimesema akili imegota Kigoma mwisho wa reli mwenzenu!!
 
Babu hebu fafanua zaidi dhambi kwa nani? Maana kuna
Dhambi kwa mpenzi/mwenzi/spouse,
Dhambi kwa mwajiri/waajiri
Dhambi kwa MUNGU

Sasa sijui unataka dhambi ipi Babu yangu..........................

MJ1 mjukuu wangu mpendwa...umesoma vizuri kweli?

Mbona nimeshasema kuwa akili ya Babu ime-jam?
 
Dhambi Mzee DC ni relative term... kilicho dhambi kwa huyu sio dhambi kwa yule... hio kutokana na ukweli kua kila jamii ina Imani zake na beliefs zinazowaongoza ni jinsi gani waishi kati ya mtu na mtu au jamii na jamii... Nasema Dhambi ni relative sababu wanaohusika na kufafanua hiki ni dhambi ama sio dhambi ni wale ambao wana dini zao (hivo kuongozwa na vitabu vya dini) na kuna wale ambao hana imani na Mungu yoyote BUT still nae huona kua kitu fulani ni dhambi au lah!

Hivo DC kuchanganikiwa kwako kujua lipi dhambi na lipi sio ni kutokana na kubadilika kwa hii dunia ya sasa- dot com hasa (Globalised vilage in the real sense)... Tumechanganyikana watu wa race/imani/mazingira tofauti kabisa!! hivo kubadilika kwa tamaduni za maeneo na mataifa tofauti imekua sasa ni inevitable... na wale walio ni world powers; wakihakikisha kua wana tawalisha culture zao zaidi... Mfano mzuri saana ni issue nzima ya Ushoga! Sad.

Kimsingi kabisa waweza kuta kila litndwalo hapa duniani ni dhambi kwa mmoja na sio kwa mwingine... hivo kikubwa kwa mwanadamu yeyote it is beta asimamie misingi ya tamaduni zake hasa zile ambazo ni muhimu mno katika kumdefine na pia kuendeleza tamaduni...
 
Lizzy,

Ni yapi hayo?? Nimesema akili imegota Kigoma mwisho wa reli mwenzenu!!

Hahahaha....MJ mami hata kumdanganya mwajiri kwamba umeshindwa kwenda kazini leo kwasababu umekwama kwenye foleni ya mafuta ni dhambi kwasababu UMEDANGANYA japo uongo wenyewe hauna madhara kiviiiile!!!

Babu DC nikwambie kitu...mi hua nasema hivi dhambi ni dhambi iwapo kilichofanyika kitakua na madhara either kwa mtendwa au mtenda!Na ukubwa wa dhambi (kwangu mimi) unaonyeshwa kwa ukuvwa wa dhara litakalotokana na hicho kitendo!!

Kwa maelezo hayo naomba nikwambie dhambi kwa nnavyoina mimi na sio collectively!!
Kumdanganya mwajiri iwapo uwongo wako unamcost yeye...if not ahhh well kila mtu anastahili break now and then.

Kumwibia mtu ambae kureplace kile ulichomwibia itakua kazi sana kwake.Mfano ni kumwibia mama mfanya biashara wa nyanya za reja reja mtaa kwa mtaa simu ya sh. 40,000 maana kuipata alijipinda sana so thats to me is unfair.Ila ukimwibia mwingine ya million kama 20 bank ahhj naona poa tu hata kama ni mimi nimeibiwa!Na nilishawahi kuibiwa na mwizi wangu nikamjua ila nilimsehe kwa sababu hii hii!

Kumcheat mtu ambae ni mwaminifu kwako..,ila kama wote ndo wale wale wakomoane tu!!

Kumsingizia/kumtuhumu mtu kitu ambacho ni uongo!!Inamuumiza sana mhusika!!!

Kutamani kitu usicho na uwezo nao hata kufikia kufanya mambo ya ajabu ili kukipata!!Mf. Kumwendea mwabaume kwa mganga...kuiba...kudhulumu...n.k

Kumdhulumu yatima...mtu ambae hana kwingine kwa kukimbilia so unfair!!

Kumsingizia/mpakazia mtu kitu hata kufikia kumharibia sifa yake na kumchafua kwenye jamii/familia haifai kabisa!!

Chuki mbaya mpaka kufikia kumuumiza mtu iwe physically au pschologically.Ila kama unamchukia tu mtu basi heey go ahead and ridhisha moyo wako!

Kulaani/kuita watoto majina ya ajabu ajabu mpaka wakafikia kukua na hizo character mbaya ulizowatupia!!

Kuua kwa kukusudia!

Kumprovoce mtu hata akafanya kitu ambacho mwanzoni hakuwahi kukifikiria/hakuwahi kudhani kiko ndani ya uwezo wake kama kuua.

Kumdharau mtu yeyote yule ambae bila yeye usingekua hapo ulipo.Mzazi/ndugu/rafiki/jirani/mwalimu n.k

Dah ntaendelea baadae.....
 
Dhambi Mzee DC ni relative term... kilicho dhambi kwa huyu sio dhambi kwa yule... hio kutokana na ukweli kua kila jamii ina Imani zake na beliefs zinazowaongoza ni jinsi gani waishi kati ya mtu na mtu au jamii na jamii... Nasema Dhambi ni relative sababu wanaohusika na kufafanua hiki ni dhambi ama sio dhambi ni wale ambao wana dini zao (hivo kuongozwa na vitabu vya dini) na kuna wale ambao hana imani na Mungu yoyote BUT still nae huona kua kitu fulani ni dhambi au lah!

Hivo DC kuchanganikiwa kwako kujua lipi dhambi na lipi sio ni kutokana na kubadilika kwa hii dunia ya sasa- dot com hasa (Globalised vilage in the real sense)... Tumechanganyikana watu wa race/imani/mazingira tofauti kabisa!! hivo kubadilika kwa tamaduni za maeneo na mataifa tofauti imekua sasa ni inevitable... na wale walio ni world powers; wakihakikisha kua wana tawalisha culture zao zaidi... Mfano mzuri saana ni issue nzima ya Ushoga! Sad.

Kimsingi kabisa waweza kuta kila litndwalo hapa duniani ni dhambi kwa mmoja na sio kwa mwingine... hivo kikubwa kwa mwanadamu yeyote it is beta asimamie misingi ya tamaduni zake hasa zile ambazo ni muhimu mno katika kumdefine na pia kuendeleza tamaduni...

Ahsante sana Asha kwa ufafanuzi wako mzuri saaana!!

Sasa kwa nini tusivunje magereza ili wote tubanane uswahilini??? Kwa sababu wao (wanaoishi keko na segerea) na sisi hatuna tofauti au??
 
Ahsante sana Asha kwa ufafanuzi wako mzuri saaana!!

Sasa kwa nini tusivunje magereza ili wote tubanane uswahilini??? Kwa sababu wao (wanaoishi keko na segerea) na sisi hatuna tofauti au??


Tunarudi pale pale kua kila jamii ina tamaduni zake... na hio ya wahalifu ni moja ya tamaduni ambazo ipo katika kila jamii ya hapa dunini thou end result ya kua judged ni tofauti.... Hivo jamii yetu uhifadhi wahalifu huko (thou sio woote ni wahalifu..) Issue nzima ya kudefine dhambi iko katika issues za mila/customes na the like... Mfano... yule mama/baba anaetaka kukeketa binti yake hufanya that out of love sio kwa kumkomoa... BUT majority ya jamii inakua against because nao wana interest ya huyo huyo binti out of love pia.... Issue kama hio ndo tatizo saana...
 
Hahahaha....MJ mami hata kumdanganya mwajiri kwamba umeshindwa kwenda kazini leo kwasababu umekwama kwenye foleni ya mafuta ni dhambi kwasababu UMEDANGANYA japo uongo wenyewe hauna madhara kiviiiile!!!

Babu DC nikwambie kitu...mi hua nasema hivi dhambi ni dhambi iwapo kilichofanyika kitakua na madhara either kwa mtendwa au mtenda!Na ukubwa wa dhambi (kwangu mimi) unaonyeshwa kwa ukuvwa wa dhara litakalotokana na hicho kitendo!!

Kwa maelezo hayo naomba nikwambie dhambi kwa nnavyoina mimi na sio collectively!!
Kumdanganya mwajiri iwapo uwongo wako unamcost yeye...if not ahhh well kila mtu anastahili break now and then.

Kumwibia mtu ambae kureplace kile ulichomwibia itakua kazi sana kwake.Mfano ni kumwibia mama mfanya biashara wa nyanya za reja reja mtaa kwa mtaa simu ya sh. 40,000 maana kuipata alijipinda sana so thats to me is unfair.Ila ukimwibia mwingine ya million kama 20 bank ahhj naona poa tu hata kama ni mimi nimeibiwa!Na nilishawahi kuibiwa na mwizi wangu nikamjua ila nilimsehe kwa sababu hii hii!

Kumcheat mtu ambae ni mwaminifu kwako..,ila kama wote ndo wale wale wakomoane tu!!

Kumsingizia/kumtuhumu mtu kitu ambacho ni uongo!!Inamuumiza sana mhusika!!!

Kutamani kitu usicho na uwezo nao hata kufikia kufanya mambo ya ajabu ili kukipata!!Mf. Kumwendea mwabaume kwa mganga...kuiba...kudhulumu...n.k

Kumdhulumu yatima...mtu ambae hana kwingine kwa kukimbilia so unfair!!

Kumsingizia/mpakazia mtu kitu hata kufikia kumharibia sifa yake na kumchafua kwenye jamii/familia haifai kabisa!!

Chuki mbaya mpaka kufikia kumuumiza mtu iwe physically au pschologically.Ila kama unamchukia tu mtu basi heey go ahead and ridhisha moyo wako!

Kulaani/kuita watoto majina ya ajabu ajabu mpaka wakafikia kukua na hizo character mbaya ulizowatupia!!

Kuua kwa kukusudia!

Kumprovoce mtu hata akafanya kitu ambacho mwanzoni hakuwahi kukifikiria/hakuwahi kudhani kiko ndani ya uwezo wake kama kuua.

Kumdharau mtu yeyote yule ambae bila yeye usingekua hapo ulipo.Mzazi/ndugu/rafiki/jirani/mwalimu n.k

Dah ntaendelea baadae.....

Duhhhhhhhhhhh.....Lizzy...Umeniamsha usingizini mdogo wangu!!

My take...
1. Ukimuibia RA ni poa tu....unafanyiwa bonge la party!!
2. Kama wewe na mwenzi wako wote mnabanjua ile amri ya God kwa kwenda mbele ni poa tu...
3. Mengine ukifanya kwa kiasi na kusababisha moderate damage ni ruksa...

Tuendeleee...Akili inaanza kurudi sasa!!
 
Tunarudi pale pale kua kila jamii ina tamaduni zake... na hio ya wahalifu ni moja ya tamaduni ambazo ipo katika kila jamii ya hapa dunini thou end result ya kua judged ni tofauti.... Hivo jamii yetu uhifadhi wahalifu huko (thou sio woote ni wahalifu..) Issue nzima ya kudefine dhambi iko katika issues za mila/customes na the like... Mfano... yule mama/baba anaetaka kukeketa binti yake hufanya that out of love sio kwa kumkomoa... BUT majority ya jamii inakua against because nao wana interest ya huyo huyo binti out of love pia.... Issue kama hio ndo tatizo saana...

Sawa tu dada,

Ila kama wanajamii wote ni wahalifu...kwa nini wengine waishi keko na kufungiwa kama kuku wa mayai wakati wengine wanatesa uraiani???
 
Duhhhhhhhhhhh.....Lizzy...Umeniamsha usingizini mdogo wangu!!

My take...
1. Ukimuibia RA ni poa tu....unafanyiwa bonge la party!!
2. Kama wewe na mwenzi wako wote mnabanjua ile amri ya God kwa kwenda mbele ni poa tu...
3. Mengine ukifanya kwa kiasi na kusababisha moderate damage ni ruksa...

Tuendeleee...Akili inaanza kurudi sasa!!


Welcome Back!!! lol... Hio statement imenifurahisha...lol
 
Back
Top Bottom