Kuna nyumba nilipelekwa, baada ya kuicheki nikajaribu kufungua maji yakawa hayatoki. Dalali akasema huwa yanatoka kila siku ni leo tu ndo hayatoki, mwenye nyumba nae akaungana na Dalali kudanganya,..baada ya kuhamia nikashangaa naonyeshwa nyumba ya jirani nikachukue maji, ikawa kila siku naenda kwa jirani kuomba maji hadi mwisho wa Kodi yangu nikahama