Hukucheza TIYARI-BADO?Mdako na makidamakida na rede
Mchezo wa Kidali ulikua na aina nyingi Mara kidali cha tobo,kidali cha kukaa,kidali cha kuchuchumaa,kidali cha kulala,kidali cha kupanda mtini,yaani kila siku aina mpya ya kidali yatajwa!Mchezo wangu wa hatari ni kucheza kidali juu ya mti,tena kulikuwa na miti miwili mikubwa ukikimbizwa mti mmoja unahamia mwengine.
Siku mmoja alipodondoka chini na kuvunjika mguu ndipo mchezo tuliacha huo mchezo.
Haha! Wimbo wa makida naupenda sana kuuimba!Mdako na makidamakida na rede
Ni kweli ule mchezo mnaweza mkabuni vyovyote,tulichezaga hadi cha kwenye magari makubwa. Yani unadandia kwenye machuma juu kwa juu hakuna kushuka chini.Mchezo wa Kidali ulikua na aina nyingi Mara kidali cha tobo,kidali cha kukaa,kidali cha kuchuchumaa,kidali cha kulala,kidali cha kupanda mtini,yaani kila siku aina mpya ya kidali yatajwa!
ha ha ha pamoja sana mkuuNILIKUWA NAPENDA SANA KOMBOLELA HASA LILE LA USIKU
Ulikuwa Doctor?Mimi nilikuwa napenda kuwapanga wtt wa kike wanapata doz wote hata kama ni kumi
Cha tobo kilikuwa msala, tena watu ndio wakiwa wengi, utazinga hadi upagaweMchezo wa Kidali ulikua na aina nyingi Mara kidali cha tobo,kidali cha kukaa,kidali cha kuchuchumaa,kidali cha kulala,kidali cha kupanda mtini,yaani kila siku aina mpya ya kidali yatajwa!
Hahahaha, ulikuwa na nyota ya kimasai nin..Ule mchezo wa kifamilia familia siju ndo kibaba baba.. lakin chaa ajabu mpaka leo najishangaa sijui kwanini nilikua napenda kucheza kama Mlinzi eti halaf mwanangu mmoja ndo Baba mwenye nyumba.
najishangaaga sana ..ila jamii alikua anafanya na kweli sasa daah.Halaf mi mlinzi Pumbavu sana
Hiyo ya kuchora ilikuwa inatujenga tuwe sharp sana.Kidali poo
Afu kuna ile baba mdogo alipoondoka alisema tuchore......
Halafu ukigoma kuzinga tunakuimba mpaka unazinga mwenyewe!Cha tobo kilikuwa msala, tena watu ndio wakiwa wengi, utazinga hadi upagawe
Kitu kinachoitwa nanasiiiiiii!!!!,baada ya kuchoka mnaambatanisha na kula mbakishie baba!Kidali poo
Afu kuna ile baba mdogo alipoondoka alisema tuchore......