Na wewe ndo umeandika nini sasa๐๐Sikuwahi kujua bkaka kiswahili ni kugumu kiasi hiki, huyu jamaa aneandika kiswahi tupu lakini sijaeelewa!
๐๐๐Kama upo Arusha kuwa makini, mkuu wenu Huwa anakawaida ya kuwakamata walevi wanaokunywa kabla ya saa kumi!
๐๐Kama upo Arusha kuwa makini, mkuu wenu Huwa anakawaida ya kuwakamata walevi wanaokunywa kabla ya saa kumi!
Daaah!Na wewe ndo umeandika nini sasa[emoji2][emoji2]
Form two haaindiki hivi asee, labda darasa la 3 C.Kama umeacha shule form two ukiwa magetoni jitahidi kusoma magazeti yatakuongezea maarifa katika uandishi
Serikali ifanyeje!? Iongeze walimu wa KKK au? ๐Shida ya kuandika vizuri inazidi kukua kwa Kasi sana nchini serikali isipochukua hatua hali itakuwa mbaya
Rudia kusoma ulivyochapia halafu ufananishe kama una tofauti na mleta mada๐
Usimcheke Nyuki Wa Mama huyoNyie mwenzenu keybord yake itakuwa ina shida mbona anaonekana anajua tu kuandika? ๐
Ila nimecheka!
Itakua wale wana class ni wakubwa kwenye medulla plagi hazichomiForm two haaindiki hivi asee, labda darasa la 3 C.
Nimeona bwana , tena nimekosea kuliko hata mleta mada, naungana na mdau hapo juu aliye sema serikali inabidi ingilie kati.Rudia kusoma ulivyochapia halafu ufananishe kama una tofauti na mleta mada๐
Nimekosa mimi*3 (Kwa sauti ya Ndungai)Usimcheke Nyuki Wa Mama huyo
Hahah๐๐๐.. SawaNimeona bwana , tena nimekosea ukiko hata mleta mada, naungana na mdau hapo juu aliye sema serikali inabidi ingilie kati.