Kitu Perfume. . . .

Ngoja nimuulize anatumia perfume gani.

H, kuna perfume moja hv inaitwa mwana dada spears breateney inaitwa Breateny sp. Illusion.....weweeeee nikukununulia Hus, we mwenyewe utatangazo ndoa na Bakulutu {joke}!
 
Humu watu wana mapesa aisee, perfume tu laki mbili?? Dah.....bajeti yangu ya mwezi mzima lol!!

Nakumbuka kuna rafiki yangu aliniletea perfume, aliacha na risiti humo humo(sijui makusudi). Kucheki bei laki 1. Dah, kipipi nilitamani niende kwenye lile duka niwarudishie ile perfume wanipe ile laki. Hahaha!
usiogope, humu hata wewe ukitaka kujifanya liiphone unaweza. Kwani nani anakujua!!
Wengi wachovu wenzetu tu.
 
H, kuna perfume moja hv inaitwa mwana dada spears breateney inaitwa Breateny sp. Illusion.....weweeeee nikukununulia Hus, we mwenyewe utatangazo ndoa na Bakulutu {joke}!

hahahaha! Afadhali umesema ni joke. Lol
 
Duh. . . Farkina, ikitokea nimebahatisha perfume anayopaka nikajitokeza akiwa hayupo itakuwaje hapo? Patasomeka sio?
INAONEKANA huyo mumeo hupaka sabuni au cream au lotion au mafuta, kwani perfum haipakwi. pole nenda kazione katika maduka ya vipodozi.
 

Aliacha ili uone alivyojitoa kwako......ila dah, umaskini mzigo shoga'angu mie hiyo ni ndoto kabisa!! Hahah Husn wewe......nijidai matawi alafu siku ukija kunitembelea unakuta ndivyo sivyo....loh (ila we najua utanistahi)!!
 
INAONEKANA huyo mumeo hupaka sabuni au cream au lotion au mafuta, kwani perfum haipakwi. pole nenda kazione katika maduka ya vipodozi.

Mh. . . People concentrate on very minor details. Its all about language, theme understood!
 
Aliacha ili uone alivyojitoa kwako......ila dah, umaskini mzigo shoga'angu mie hiyo ni ndoto kabisa!! Hahah Husn wewe......nijidai matawi alafu siku ukija kunitembelea unakuta ndivyo sivyo....loh (ila we najua utanistahi)!!

hahahaha! Nitakustahi sitasema kwa watu ila kimoyo moyo mmmmh!
 
hahahaha! Nitakustahi sitasema kwa watu ila kimoyo moyo mmmmh!

heheh.....acha hizo basi shostito, sasa ukigunia rohoni manake si ipo siku utalisema tu, kama sio kuhadithia basi kwa kunitolea mfano lol!! (hujamaliza tu kumuuliza shemeji perfume anayotumia??)
 
heheh.....acha hizo basi shostito, sasa ukigunia rohoni manake si ipo siku utalisema tu, kama sio kuhadithia basi kwa kunitolea mfano lol!! (hujamaliza tu kumuuliza shemeji perfume anayotumia??)

siku ukiniuzi nawahadithia watu. Lol.
Shemeji yako jana kagoma kurudi, leo pia sijamuona. Akirudi kabla sijafika naomba umuulize. (usije kumkonyeza lakini@
 
siku ukiniuzi nawahadithia watu. Lol.
Shemeji yako jana kagoma kurudi, leo pia sijamuona. Akirudi kabla sijafika naomba umuulize. (usije kumkonyeza lakini@

hahahah....haya bana, we tutakuwa tunakutana njiani tu!! Alafu wewe....mie siwezi kumkonyeza shemeji yangu, kwanza hata kumuuliza naogopa, akinitwanga maswali mie nitajibu nini atii?? Utakuja umuulize mwenyewe!
 

hapo katika namba 6.PI-GIVENCHY Ni burudani kabisa
 
Ni kweli.mume wangu huwa anapaka perfume flan nkiiskia tu basi namtani sana akiwa hayupo huwa napakaa mimi basi napata hisia kama yupo na mimi.
Dah!Kumbe tayari...nimeshachelewa!
 
heheh.....acha hizo basi shostito, sasa ukigunia rohoni manake si ipo siku utalisema tu, kama sio kuhadithia basi kwa kunitolea mfano lol!! (hujamaliza tu kumuuliza shemeji perfume anayotumia??)

Ngoja nikusaidie. . . Cobra au Simla
 
There is so much power in Perfume jamani, kuna moja nikiisikia barabarani naanza kumtafuta aliyepaka, japo nimtambue afu nione kama anafanana nayo.

Dah, pafyumu ina nguvu sana.

Kwa hiyo unaacha shughuli zote muhimu unaanza kumsaka mwenye pafyumu hii kali aisee:decision:
 
Humu watu wana mapesa aisee, perfume tu laki mbili?? Dah.....bajeti yangu ya mwezi mzima lol!!


Kipipi ukitaka uzuri sharti udhurike
Kama unataka ukitoka nje ya chumba chako uwe na harufu tofauti na sio ya kukera lazima mfuko utoboke
So laki mbili ni kawaida kwa perfume nzuri ambayo hata ukiwa nayo ofcn watu hawakereki au kupiga chafya
Sio unatoka ndani na perfume au cologne watu wakikutana na wewe wanauliza nani kapulizia dawa ya mbu hapa
 
Huyu naona anashindwa kutofautisha mie mtazamo wangu ni jasho la jamaa japo yeye anadai perfume..
mtu na mpenzi wake hukaririana hali ya hewa zao,kwahiyo akitokea mwingine sio rahisi kuridhiwa kwani hiyo
perfume.. ni ileile.
 

Jamaa umeongea vizuri ila heb tuwekee na bei tujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…