Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Kariakoo pale nilikua shopping 💔We ulikua wap ad inaibiwa
😂Na wewe kazi yako ni nini?Bhana ndo kazi yake iyo
Magical power 😹
Si anakula mbususu yangu 💔 mwenyew ujui uwo ni mgodi wangu😹😂Na wewe kazi yako ni nini?
Kwahiyo ukiyakata ndo yanakuwa nyama? Au maharage? Majani ni majani tu, regardless of the size..!! Haya, nguruwe nao huwa wanakatiwa majani..!!Mboga ya majani ikipikwa hivyo huwa sili kabisa, mm sio ngombe eti uniwekee majani mazimazima bila ya kuyakata kata.
chief hayo ni maoni yangu na wewe una Yako Kila mtu abaki na msimamo wake.Kwahiyo ukiyakata ndo yanakuwa nyama? Au maharage? Majani ni majani tu, regardless of the size..!! Haya, nguruwe nao huwa wanakatiwa majani..!!
Uku umate mate unakudondoka😝😝😝😝Imekaangwa vibaya hata haivutii aisee🚮
Ndo vitamin d mkuu😂Issue sio kuiva nimezungumzia kukatwa katwa vipande vidogo, ukiangalia hapo juu unaona shina lote la mchicha limepikwa kama lilivyo.
🙄🙄Bhana ndo kazi yake iyo
Magical power 😹
Kwan ukikatakata Hilo shina vipande vipande hiyo vitamin D itaondoka.?Ndo vitamin d mkuu😂
😂😂😂Aise ila Sasa hatakiwi kukuhudumia kila kituSi anakula mbususu yangu 💔 mwenyew ujui uwo ni mgodi wangu😹
Sio kuondoka itapungua mkuu😂😂Kwan ukikatakata Hilo shina vipande vipande hiyo vitamin D itaondoka.?
Nakubali 💪😂😂😂Aise ila Sasa hatakiwi kukuhudumia kila kitu
Sidhani.Sio kuondoka itapungua mkuu😂😂