ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,012
hawa jamaa wameamua kuanza kuonyesha movie(maigizo) yao kwenye tv then ndo dvd mtaani.kwenye comments JB anadanganya eti watu wa Tv(SIBUKA)wamesharudisha gharama za movie kwa kuwalipa..kwendraaa wale sibuka wasiolipa mshahara wafanyakazi wwape milioni 30 kurusha mara mbili,ni sponsor gani huyo katoa hiyo,kadanganyaneni huko na kina le mutuz
Jacob Stephen
September 23 at 10:33am · Instagram ·
Filamu hii itaonyeshwa leo kwa mara ya kwanza...sibuka Tv..channel 111 kupitia startimes..saa3 kamili usiku...kisha itakuwa madukani jumatatu..26..09..2016..
Like
Like
Love
Haha
Wow
Sad
Angry
Comment
Share
63Moses Tibenda, Moses Anthony Mwanyilu and 61 others
Comments
Moses Anthony Mwanyilu Big up kiungo mshambuliaji
Like · Reply · September 23 at 10:45am
David Sylvester Hongera sana brother
Like · Reply · September 23 at 10:47am
Philipo Emilian Sio kwanza ingeenda madukani kwanza ikauza kwa muda wa miezi kadhaa kisha ikaonyeshwa kwenye Tv au kwenye Tv wametoa pesa nyingi boss?
Like · Reply · 1 · September 23 at 10:50am
Karim Maulid Sasa wakishaiona watainunuaje mkuu,soko la bongo movie limekufa c kutokana na kifo cha kanumba bali ni kutoka anologia kwenda digital hv vingamuz vna tamthilia nying za kumuweka mtu bize mpaka ana mda wa kununua bongo movie maana ata zingne bongo movie...See More
Like · Reply · 1 · September 23 at 11:02am
Nusrat Semtawa SASA WAKISHAIONA NANI ATANUNUA KAKA. ..BORA WANGEONYESHA TRAILER TU
Like · Reply · September 23 at 11:15am
Jacob Stephen Karim Maulid ni vema uulize kwanza...mambo ni kidigital kama unavyosema..unadhani wanaweza kuonyesha bila makubaliano na mpunga mwingi kuingizwa...tayari wameshalipa karibu hela yote ya mauzo ya dvd..na itaonyweshwa leo..kesho na kesho kutwa.uuzaji wa svd ni nyongeza
Like · Reply · 2 · September 23 at 11:17am
Nusrat Semtawa hapa sawa kakaake. ..umetishaaaaaaaa
Like · Reply · September 23 at 11:18am
Write a reply...
https://www.facebook.com/jacob.stephen.37?fref=ts#
Jacob Stephen kila movie zinazo sambazwa na steps zitaanza kuonyeshwa hapo..ni soko jipya kabla ya uuzaji wa dvd..
Like · Reply · 1 · September 23 at 11:19am
Karim Maulid Pesa mnaolipwa na hao inaenda sawa kama mngeuza cd kwanza, kama huo ni mfumo mpya wa step je hawa wachanga ambao majina yao ni madogo watanufaika kweli na huo mfumo. Me ni mpenzi tu wa filamu za kibongo usinifikilie vbaya napenda wasanii wa bongo movie nao atleast waish kama wa muzik
Like · Reply · September 23 at 11:32am
JayfOur Chilimba Kwako broh poa coz mpunga umeshaingia kwako lkn kuna wale wauzaj wa jumla na rejareja huon mzigo utazingua sokon
Like · Reply · 1 · September 23 at 11:33am
Karim Maulid Na wanaomiliki libary nao mzigo c unawadodea je mkuu mmewatazamaje hawa watanzania wezenu
Like · Reply · September 23 at 11:35am
Jacob Stephen dvd sasa ni soko la pili..
Like · Reply · 1 · September 23 at 12:06pm
Jacob Stephen lakini sinema ikiwa nzuri hata kama wataiona kwenye TV watauza DVD
Like · Reply · 1 · September 23 at 12:08pm
Karim Maulid Atleast siku moja ila siku tatu czan ata kama itakuwa nzur soko la dvd halitakuwa nzur.cjui me cjaelewa vzr maana naona kama pande moja inafaidika sana
Like · Reply · September 23 at 12:13pm
Jacob Stephen Karim Maulid soko la dvd dunia nzima ni la pili au la tatu..sisi tu ndio tulikuwa tumechelewa
Like · Reply · 1 · September 23 at 12:55pm
Jacob Stephen
September 23 at 10:33am · Instagram ·
Filamu hii itaonyeshwa leo kwa mara ya kwanza...sibuka Tv..channel 111 kupitia startimes..saa3 kamili usiku...kisha itakuwa madukani jumatatu..26..09..2016..
Like
Like
Love
Haha
Wow
Sad
Angry
Comment
Share
63Moses Tibenda, Moses Anthony Mwanyilu and 61 others
Comments
Moses Anthony Mwanyilu Big up kiungo mshambuliaji
Like · Reply · September 23 at 10:45am
David Sylvester Hongera sana brother
Like · Reply · September 23 at 10:47am
Philipo Emilian Sio kwanza ingeenda madukani kwanza ikauza kwa muda wa miezi kadhaa kisha ikaonyeshwa kwenye Tv au kwenye Tv wametoa pesa nyingi boss?
Like · Reply · 1 · September 23 at 10:50am
Karim Maulid Sasa wakishaiona watainunuaje mkuu,soko la bongo movie limekufa c kutokana na kifo cha kanumba bali ni kutoka anologia kwenda digital hv vingamuz vna tamthilia nying za kumuweka mtu bize mpaka ana mda wa kununua bongo movie maana ata zingne bongo movie...See More
Like · Reply · 1 · September 23 at 11:02am
Nusrat Semtawa SASA WAKISHAIONA NANI ATANUNUA KAKA. ..BORA WANGEONYESHA TRAILER TU
Like · Reply · September 23 at 11:15am
Jacob Stephen Karim Maulid ni vema uulize kwanza...mambo ni kidigital kama unavyosema..unadhani wanaweza kuonyesha bila makubaliano na mpunga mwingi kuingizwa...tayari wameshalipa karibu hela yote ya mauzo ya dvd..na itaonyweshwa leo..kesho na kesho kutwa.uuzaji wa svd ni nyongeza
Like · Reply · 2 · September 23 at 11:17am
Nusrat Semtawa hapa sawa kakaake. ..umetishaaaaaaaa
Like · Reply · September 23 at 11:18am
Write a reply...
https://www.facebook.com/jacob.stephen.37?fref=ts#
Jacob Stephen kila movie zinazo sambazwa na steps zitaanza kuonyeshwa hapo..ni soko jipya kabla ya uuzaji wa dvd..
Like · Reply · 1 · September 23 at 11:19am
Karim Maulid Pesa mnaolipwa na hao inaenda sawa kama mngeuza cd kwanza, kama huo ni mfumo mpya wa step je hawa wachanga ambao majina yao ni madogo watanufaika kweli na huo mfumo. Me ni mpenzi tu wa filamu za kibongo usinifikilie vbaya napenda wasanii wa bongo movie nao atleast waish kama wa muzik
Like · Reply · September 23 at 11:32am
JayfOur Chilimba Kwako broh poa coz mpunga umeshaingia kwako lkn kuna wale wauzaj wa jumla na rejareja huon mzigo utazingua sokon
Like · Reply · 1 · September 23 at 11:33am
Karim Maulid Na wanaomiliki libary nao mzigo c unawadodea je mkuu mmewatazamaje hawa watanzania wezenu
Like · Reply · September 23 at 11:35am
Jacob Stephen dvd sasa ni soko la pili..
Like · Reply · 1 · September 23 at 12:06pm
Jacob Stephen lakini sinema ikiwa nzuri hata kama wataiona kwenye TV watauza DVD
Like · Reply · 1 · September 23 at 12:08pm
Karim Maulid Atleast siku moja ila siku tatu czan ata kama itakuwa nzur soko la dvd halitakuwa nzur.cjui me cjaelewa vzr maana naona kama pande moja inafaidika sana
Like · Reply · September 23 at 12:13pm
Jacob Stephen Karim Maulid soko la dvd dunia nzima ni la pili au la tatu..sisi tu ndio tulikuwa tumechelewa
Like · Reply · 1 · September 23 at 12:55pm