Kituko cha mwaka: Malkia wa Urembo wa Argentina na Puerto Rico wafunga ndoa

Kituko cha mwaka: Malkia wa Urembo wa Argentina na Puerto Rico wafunga ndoa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001

Malkia wa Urembo wa Argentina na Puerto Rico wafunga ndoa​


.
1667458775663.png

Malkia wa Urembo wa Argentina Mariana Varela na Malkia wa urembo wa Puerto Rico Fabiola ValentinImage caption: Malkia wa Urembo wa Argentina Mariana Varela na Malkia wa urembo wa Puerto Rico Fabiola Valentin
Malkia wa zamani wa Urembo kutoka Argentina na Puerto Rico wamewashangaza wengi walipotangaza katika mtandao wa Instagram kwamba walifunga ndoa.

Malkia wa Urembo wa Argentina Mariana Varela na Malkia wa urembo wa Puerto Rico Fabiola Valentin walikutana katika shindano la urembo la Miss Grand International 2020 baada ya wote wawili kuibuka washindi katika mataifa yao mwaka huo.

Baada ya wawili hao kuorodheshwa katika kumi bora katika mashindano hayo nchini Thailand , wamekuwa na uhusiano wao katika mitandao ya kijamii , kulingana na chombo cha habari cha CNN.

Kulingana na jarida la The People Magazine, waliandika katika Instagram siku ya Jumapili kwa lugha ya Kispanish:

‘’Baada ya kuapa kuweka siri uhusiano wetu , tulifungua milango yetukatika siku maalum. 28/10/22 ❤️✨"
Varela mwenye umri wa miaka 26 na Valentin walisambaza vídeo zenye picha za uhusiano wao , jinsi walivyokutana, pete zao za uchumbapamoja na sherehe na marafiki zao.

Kulingana na CNN, wawili hao walifunga ndoa katika mji wa San Juan nchini Puerto Ricotarehe 28 mwezi Oktoba iliopita.

Baadhi ya watu wakiwemo malkia wa urembo waliwatakia heri njema Varela na Valentin.

Abena Akuaba, mwimbaji wa Ghana na mshindi wa shindano la Miss Grand International 2020, aliwashukuru na kuongeza: "MGI ilifanya mkutano mzuri."
 
Hii habari inafaida gani kwa watazanania ama unaendelea kusambaza sera unazoshabikia?
Unasambaza kwa faida ya nani habari kama hii
Hakika bao la shoga halijawah kutoa rijali
Sasa bila kupata habari utajuaje na kuzipatia njia za kuepuka?Kupata habari kama hizo ni jambo moja na kuzichakata kwa uhasi au uchanya wake ni juu yako.
 
Hii habari inafaida gani kwa watazanania ama unaendelea kusambaza sera unazoshabikia?
Unasambaza kwa faida ya nani habari kama hii
Hakika bao la shoga halijawah kutoa rijali
Naona wewe ni aina ya watu wanao ota kwa vitendo, akiota anakumbia unaweza kumkamatia Kiluvya. Naona JF unaiperuzi ukiwa ndotoni, una comment ndotoni. Ukiamka rudia ulichokiandika, naamini hutokosa cha kusahihisha, huenda ukafuta comment yako yote
 
Sasa hawa mamiss ndio ilitakiwa wawe chakula chao, ila hawa mamiss kwa kuwa wameota mapembe, wameamua kulana wao kwa wao
Inasikitisha sana, wanawake wengi sana siku hizi wameishiwa nguvu za kike Kwa ujinga wa kujitakia. Wanaume wametupa kazi ngumu Sana ya kuwapandisha mlima. Binafsi nimechagua njia ya kujisevia nishibe bila kujali njaa Yao.
 
Inasikitisha sana, wanawake wengi sana siku hizi wameishiwa nguvu za kike Kwa ujinga wa kujitakia. Wanaume wametupa kazi ngumu Sana ya kuwapandisha mlima. Binafsi nimechagua njia ya kujisevia nishibe bila kujali njaa Yao.
Kujishibisha wewe bila kujali njaa yao kuna manufaa sana kwako. Unaepusha michubuko isiyo ya lazima. Pili hutumii nguvu nyingi ambazo unezipoteza kiboya kwa kutaka sifa za kijinga. Chapa, ilale, sepa
 


Miss Argentina 2019 na Miss Puerto Rico 2019 wametangaza kwamba wameoana.

Mariana Varela and Fabiola Valentín, walianza kutoka kimapenzi tangu 2020 kwenye shindano la Miss Grand International.

Wawili hao tangu 2020 waliishi kama wapenzi lakini kwa siri kubwa, ila hivi sasa penzi lao wameliweka hadharani na wamefunga ndoa.

Hivi hizi pisi zilivyo kali zimekosa wanaume kweli mpaka zioane hasi kwa hasi? Aisee uhuru umepitiliza, Tanzania huku kuna njemba kibao kila siku zinakesha kupiga Puchu Then hawa wanaoana!!!!
 
Mbona unalalamika sana..panda ndege kawatembezee dushe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii habari inafaida gani kwa watazanania ama unaendelea kusambaza sera unazoshabikia?

Unasambaza kwa faida ya nani habari kama hii.

Hakika bao la shoga halijawah kutoa rijali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mmevurugwaaa,
 
Back
Top Bottom