Kituko cha mwaka: Malkia wa Urembo wa Argentina na Puerto Rico wafunga ndoa

Naamini vitoto vyao vitakuwa virembo pia
 
Naona wewe ni aina ya watu wanao ota kwa vitendo, akiota anakumbia unaweza kumkamatia Kiluvya. Naona JF unaiperuzi ukiwa ndotoni, una comment ndotoni. Ukiamka rudia ulichokiandika, naamini hutokosa cha kusahihisha, huenda ukafuta comment yako yote
LGBTQ supporter
 
Mtumeee
 
Ndio maana waislamu wameamua kumsaidia Allah kuhukumu na mtihani upo kwa mtoa hukumu je yeye ni msafi sirini mwake?acheni MUNGU aitwe MUNGU.
 
Waongo hao pembeni wanasalitiana wanapigwa mbupu afu badae wanakutana kutiana vidole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…