Kituko gani kilikuacha hoi kwa kicheko mnamo 6*6?

Duuuh!
 
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ kwa kweli mlitisha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] khaa we BAK wewe[emoji85] [emoji85]
 
ha hahaha dhambi
 
unajua nimerudisha kumbu kumbu nyuma siki nasikia kanumba amekufa na sababu ya kufa!
Nikarudi kwenye comment yako daaaa![emoji23] [emoji23]
Yaani na mimi nilirudi huko aisee
 
hahahahahahahah lol! baadaye ilikuwa ni kichekesho kikubwa sana. Kweli wote tungeweza kuumia vibaya sana. Hebu fikiria "kavunjika mgongo wakati wanagegedana" lol!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] khaa we BAK wewe[emoji85] [emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…