Duuuh!Daaah kitambo sana bush asee,nipo na mtt porini tumetandika manyasi na khanga kwa juu tunafany yetu yaan wazungu walikua wanakaribia kuja ghafla namuona chatu yupo jilan kabsa na sie,daah nilipata ganzi isiyo elezeka,kwa kua niliganda kumuangalia na mwenzang kuchek kamuona uoga umemzid mpk kawa hawez ht kunyanyua,ilibid nimbebe mgongon mkp mbali na tukio then akaenda kwao,nikaenda kutoa taarifa mtaani wakaja kumuua kumbe alishameza mbuzi alikua hana hata uwezo wa kukimbia au kumeza tena,sitasahau kamwe ile kitu
πππ kwa kweli mlitishaHabari za Jumapili familia pendwa!!!
Kwa ndugu zangu waislamu nawatakia mfungo mwema!
Nina uhakika kwa namna moja au nyingine kuna wenzetu wamewahi kukutana na matukio ya kuchekesha wakiwa katika ile shughuli pendwa. Tukio linaweza likawa halikuchekesha wakati ule ila kwa sasa ukikumbuka tu lazima ucheke.
Yaani ex wangu alikua ni mtu wa vurugu sana kwenye mechi... Atakubidua kila aina ya staili yaani ukitoka hapo mwili unauma kama ulikua unalima... Kuna siku katika purukushani bwana kumbe tumebiringita mpka kumaliza kitanda, tukatua chini kama zigo "ndiii'... Tukaangukia kwenye vyombo vilikua kwenye tray pembeni ya kitanda, vyombo vikavunjika... Ile maumivu hayajaingia vizuri tukasikia hodi mlangoni majirani wanatuuliza " kwema humo?"... Yaani tuliganda kama tulivyodondoka na kuuchuna kama hamna mtu ndani huku mimi nakufa kwa kujizuia kicheko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakalia niniSina ta*o!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] khaa we BAK wewe[emoji85] [emoji85]Mie niliwahi kuvunja meza ya kulia (Dining Table) niliogopa sana mrembo nilidhani kavunjika mgongo maana ilikuwa ni kishindo kikubwa sana. Nikawa namuuliza uko sawa mgongo hauumi, hebu tembea nikuone kama unatembea sawa lol! Genye zote kwishney huku bado nikiwa na wasiwasi mrembo anaweza kuanza kusikia maumivu makali ya mgongo au viungo vingine lakini alikuwa salama. Kwa leo hii inatosha πππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]majirani nao wambea sana, watu wako wawili ndani tena jinsia tofauti wanakuja kuuliza eti kwema!
Ningekuwa mimi ningemwambia siyo kwema njoo utuokoe
ha hahaha dhambinilishawahi kuvunja kioo cha kabati la jirani wakati nikiduu na house girl wake,hatukuweza kwenda chumbani so ilikuwa fasta fasta sebuleni,wakati natafuta balansi ya kukita vidole gumba vya miguu chini ili nipate balance ya kusimamia shoo,mara nikasukuma stuli ikagonga kioo cha kabati la vyombo,aisee,kila kitu kiliishia pale pale.
cha kufanya tukakiegesha vizuri halafu tukaegeshema meza.tukasubiri watoto waliopotoka shule akavunga anadeki so sebuleni pakawa shaghalabaghala,ili mtoto aweze kupita kwenda chumbani ikabdidi amwambie asukume meza apate upenyo,ile mtoto anasukuma meza tu kioo pwaaaa,ikawa sasa mtoto ndo kapasua kioo.
kesi kwishney
unajua nimerudisha kumbu kumbu nyuma siki nasikia kanumba amekufa na sababu ya kufa!ππ vipi wewe Mkuu
eeh.. Mkuu yani siku hiyo nilipata bpunajua nimerudisha kumbu kumbu nyuma siki nasikia kanumba amekufa na sababu ya kufa!
Nikarudi kwenye comment yako daaaa![emoji23] [emoji23]
Bado tu hujakumbuka??Nkikumbuka nitakuja kushare
Naommba mniombee( magu voice) nisije nikaandika matukio yangu hapa.