Samia anadharaurika sana watu wanachezea nchi watakavyo.Aisee hili li nchi limeshaoza π¬
Kuanzia zoezi la anwani za makazi lilifeli, hii sensa nayo mpaka sasa zoezi limeshafeli.
Dah ! Ila nchi ngumu hii + njaa Kali kitaa basi watu waishi like savages [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1],Ndio maana Hashim Rungwe alisema watu Wana njaa Sana ,sasa just imagine huyo ni mwalimu je majobless waliobaki kitaa ?ALERT [emoji599] [emoji599] [emoji599]
View attachment 2307084View attachment 2307083View attachment 2307085
Huko katika kata ya kitulo mkoani njombe aliyekuwa mwenyekiti wa usahili Agizo chapel tweve ambaye ni mwl.mkuu kampitisha mke wake Vailet sanga nawakinga wenzao naanajisifia hawez waacha wazawa..
amempitisha mtu aliyeomba usimamizi wamaudhui kuwa karani Okraim ngailo majina mengine mengi mchongo wa rushwa tu.
Jina no.286 ni mwenyekiti zoezi la usaili
Jina no.300 nimke wake 291 aliomba usimamizi wa maudhui kahonga kapewa ukarani.
COPY AND PASTE
Ni zaidi ya njaa Kali jaman huku kwetu waalimu wamepachikana kwenye nafasi kama hawana mishahara vile sijui jobless tuishijeDah ! Ila nchi ngumu hii + njaa Kali kitaa basi watu waishi like savages [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1],Ndio maana Hashim Rungwe alisema watu Wana njaa Sana ,sasa just imagine huyo ni mwalimu je majobless waliobaki kitaa ?
KKabira la watu wa kitulo Ni wakinga au wawanji? Mi nilijua kitulo ipo matambaALERT π¨ π¨ π¨
View attachment 2307084View attachment 2307083View attachment 2307085
Huko katika kata ya kitulo mkoani njombe aliyekuwa mwenyekiti wa usahili Agizo chapel tweve ambaye ni mwl.mkuu kampitisha mke wake Vailet sanga nawakinga wenzao naanajisifia hawez waacha wazawa..
amempitisha mtu aliyeomba usimamizi wamaudhui kuwa karani Okraim ngailo majina mengine mengi mchongo wa rushwa tu.
Jina no.286 ni mwenyekiti zoezi la usaili
Jina no.300 nimke wake 291 aliomba usimamizi wa maudhui kahonga kapewa ukarani.
COPY AND PASTE