kitunguu kimeniangusha mtaji

mbuyake

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
293
Reaction score
510
Nimelima kitunguu sasa ni mwezi wa tatu lakn hakina matunda licha ya kuweka urea mara ya pili CAN na mbegu ni bombey red
 
na uwekaji wa mbolea ya kwanza niliweka kilipofka wk 3 na ya pili kilipofka mwz 2 na je naweza kusubiri kifike miez 4?
 
Kak kilimo kinaitaji uangalifu mkubwa ulipima udongo na haliya hewa huko ikoje maana kitunguu kipo sensitivu sana na hali ya hewa.
 
ntsgenesis kama unavyojua ukulima wa ktz upimaj wa ardhi ni jambo jingne kabisa ,ila ngoja nijipange maska nilime kingne
 
Usisahau kuwekea dawa inaitwa Vigimax ndo nzuri Kwa kukuzia matunda ya vitunguu
 
je nikiiweka vigimax inaweza kusaidia?maana nilipiga booster lakn skuona mafanikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…