A
Anonymous
Guest
Nililazimika pia kugharamikia vipimo pamoja na dawa ambazo walidai hazipo pale lakini kwa wenye pesa walipewa dawa hizo hizo ambazo mimi niliambiwa hazipo.
Naomba Serikali iingilie kati suala hili kwani ni tofauti na ahadi tunazopewa na Serikali kuwa mama Mjamzito na Watoto watapewa huduma bure katika vituo vyote vya afya.