KERO Kituo cha afya mji wa Tunduma wanatoza fedha kwa watoto chini ya miaka mitano

KERO Kituo cha afya mji wa Tunduma wanatoza fedha kwa watoto chini ya miaka mitano

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kituo cha afya mji wa Tunduma marufu kama Serikalini wanatoza fedha ya kumuona daktari, vipimo pamoja na kuuza dawa kwa wagonjwa wachanga wa chini ya miaka mitano

Serikali iingilie kati suala hili kwani wananchi tunateseka kwani ni kinyume na sera ya serikali ya afya ya mama na mtoto.
 
Back
Top Bottom