Kituo cha kufanyia mtihani kwa kujitegemea 'Pxxxx'

Kituo cha kufanyia mtihani kwa kujitegemea 'Pxxxx'

Kongosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
35,991
Reaction score
24,211
Habarini,

Nataka nijiendeleze na ngumbaru kwa kidato cha nne. Kwa mipango yangu, nategemea kufanya mitihani ya kidato cha 4 kama mtahini wa kujietegemea mwakani 2015.

Nimepitia matokeo ya baadhi ya vituo kwa kweli inakatisha tamaa, sijajua tatizo kubwa ni nini hadi ufaulu wao kuwa wa chini kiasi hiki.

Ninapanga kufanya masomo 6 ambayo ni Kingereza, historia, uraia, jiografia, kiswahili na hisabati.

Naomba ushauri kwenye hili.
1. Kituo/vituo gani vimefanya vizuri zaidi, naamini katika fuata nyuki ule asali.
2. Changamoto gani zinazokuwa zinaweza kusababisha 'private candidate' kufanya vibaya kiasi hiki?
3. Ni vipi naweza kukabilaiana na changamoto hizo, ukizingatia mie ni mzazi na ninafanya kazi?
4. Ushauri wowote za ziada unakaribishwa hasa kutoka kwa walimu au watahini.

cc EMT OLESAIDIMU gfsonwin snowhite King'asti Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nakupa pongezi kwa uamuzi wako wa kujiendeleza kimasomo. Hongera sana. Pili napenda kukutia moyo. Usikate tamaa kwa sababu umeona kuwa baadhi ya vituo matokeo sio mazuri. Kama ukisema usisome eti kwa sababu wengine wanafeli utakuwa hauitendei haki dhamira yako. Sidhani kama ni vituo vyote vinakuwa na matokeo mabovu. Kajiandikishe kwenye kituo ulichoona ni poa kwa upande wako halafu ujisomee kwa bidii mpaka wakati wa kufanya mitihani utakapofika. N:B Kama utahitaji twisheni uje kwangu nitakufundisha bure kabisaaaaaa mara baada ya kutoka kazini.. All the Best Kongosho aka Zombie wa Zombie
 
Last edited by a moderator:
Hua nasikia wanasema kuwa wasahihishaji hua wanasahihisha na kurudiarudia mara zaidi ya 4 na pia maksi za ufaulu kwa candidate wa finafsi ziko juu sana hivyo kufanya mazingira kuwa magumu kufaulu

Hivyo kama unampango wa kurudia ni bora ukayajua hayo

By the way nakutakia mafanikio katika hili!
 
hayo mengine sina hakika, hgelo wangu anasoma QT na amefaulu stage one in flying colours japo 80% wamefeli. sasa sijui shida ni shule ama?

Changamoto- Utatongozwa hadi uombe poo. shule makes you feel young and blush everytime (mie nafanya post doctoral digirii saa hizi, sikubali kuacha kusoma)

Kukabili: Kaza roho. Blush, cheka ila usile chipsi za watu manake utadaiwa again hadi uombe poo.

(digirii zinatunza mume siku hizi, hadi ufike parefu ila kila la kheri shosti. maamuzi magumu ndo mpango):boink:
Habarini,

Nataka nijiendeleze na ngumbaru kwa kidato cha nne. Kwa mipango yangu, nategemea kufanya mitihani ya kidato cha 4 kama mtahini wa kujietegemea mwakani 2015.


2. Changamoto gani zinazokuwa zinaweza kusababisha 'private candidate' kufanya vibaya kiasi hiki?
3. Ni vipi naweza kukabilaiana na changamoto hizo, ukizingatia mie ni mzazi na ninafanya kazi?
 
Asante, kutongoza ni kama kiitikio tu.

Ina maana naweza fanya QT nikaachana na kufanya mtihani kama private candidate?
Nia yangu, baada ya miaka 5 niwe na digrii, japo risala ya marehemu ipendeze

hayo mengine sina hakika, hgelo wangu anasoma QT na amefaulu stage one in flying colours japo 80% wamefeli. sasa sijui shida ni shule ama?

Changamoto- Utatongozwa hadi uombe poo. shule makes you feel young and blush everytime (mie nafanya post doctoral digirii saa hizi, sikubali kuacha kusoma)

Kukabili: Kaza roho. Blush, cheka ila usile chipsi za watu manake utadaiwa again hadi uombe poo.

(digirii zinatunza mume siku hizi, hadi ufike parefu ila kila la kheri shosti. maamuzi magumu ndo mpango):boink:
 
hayo mengine sina hakika, hgelo wangu anasoma QT na amefaulu stage one in flying colours japo 80% wamefeli. sasa sijui shida ni shule ama?

Changamoto- Utatongozwa hadi uombe poo. shule makes you feel young and blush everytime (mie nafanya post doctoral digirii saa hizi, sikubali kuacha kusoma)

Kukabili: Kaza roho. Blush, cheka ila usile chipsi za watu manake utadaiwa again hadi uombe poo.

(digirii zinatunza mume siku hizi, hadi ufike parefu ila kila la kheri shosti. maamuzi magumu ndo mpango):boink:



You sound kama supervisor flani hivi!!!!!!!
 
kuna limit ya umri ambapo unaweza kusoma kama private candidate (sina hakika kama ni kwa ambao walikwepa umande jumla ama ambao wanataka kubrush vyeti peke yake)
Sasa na umri huo labda umuulize Da Sophy manake ana cheti cha form four sasa hivi nadhani, lol.
angalia matongozo ya mjini dada, na huo mshepu wako si hatari tupi?
Asante, kutongoza ni kama kiitikio tu.

Ina maana naweza fanya QT nikaachana na kufanya mtihani kama private candidate?
Nia yangu, baada ya miaka 5 niwe na digrii, japo risala ya marehemu ipendeze
 
Last edited by a moderator:
supervisor ama meneja?
hebu nitendee haki bwana.
(samahani, supervisor wa qt skuli chini ya mti ama wa kwenye kibanda cha mabati?)


Aaaanh usianze kunitolea mbavuni my dada please!!!!!!!
Supervisor as in supervisor in academy; concept note,proposal eeeenheee mpaka mwisho!!!!!

Ntaku PM bhana si unaona mijicho hapa aaaaaaargh
 
Nimesoma QT, nikafanya mtihani wa form four mwaka jana, nmepata div. 4 ya points 40. Sijui nikwambieje, lkn kwa mtazamo wa harakaharaka, huenda kuna kamchezo pale NECTA hufanyiwa watahiniwa binafsi.
Nasema hivi kwa sababu mtihani niliofanya mm ulikuwa rahisi sana sana sana, ulikuwa na maswali clear yanayoeleweka. Binafsi nilitegemea ntafika mbali sana kwani nilijua sitakosa angalau div.3, mpaka sasa hivi najiuliza nini hasa kilienda kombo? Sipati jibu na sielewi nifanye nn kwa matokeo hayo. Naanza kuamini NECTA kuna mchezo mchafu.
 
Umenipa akili, basi mie nitaenda Necta kuuliza kwa nini Pxxxx wanafeli sana.

Baada ya hapo nitaleta feedback hapa.

Nimesoma QT, nikafanya mtihani wa form four mwaka jana, nmepata div. 4 ya points 40. Sijui nikwambieje, lkn kwa mtazamo wa harakaharaka, huenda kuna kamchezo pale NECTA hufanyiwa watahiniwa binafsi.
Nasema hivi kwa sababu mtihani niliofanya mm ulikuwa rahisi sana sana sana, ulikuwa na maswali clear yanayoeleweka. Binafsi nilitegemea ntafika mbali sana kwani nilijua sitakosa angalau div.3, mpaka sasa hivi najiuliza nini hasa kilienda kombo? Sipati jibu na sielewi nifanye nn kwa matokeo hayo. Naanza kuamini NECTA kuna mchezo mchafu.
 
We acha tu, nilisoma fomu foo nikazungurusha gurudumu la maendeleo.

Sasa huku duniani kila nakotaka kwenda past yangu ya matokeo inani-hunt, nataka kuclear hili once and for all niwe huru.

Afu si unajua tena ka upeo ka ku-urgue kanakuwa limited, nachoka kabisa.

kuna limit ya umri ambapo unaweza kusoma kama private candidate (sina hakika kama ni kwa ambao walikwepa umande jumla ama ambao wanataka kubrush vyeti peke yake)
Sasa na umri huo labda umuulize Da Sophy manake ana cheti cha form four sasa hivi nadhani, lol.
angalia matongozo ya mjini dada, na huo mshepu wako si hatari tupi?
 
kuna limit ya umri ambapo unaweza kusoma kama private candidate (sina hakika kama ni kwa ambao walikwepa umande jumla ama ambao wanataka kubrush vyeti peke yake)
Sasa na umri huo labda umuulize Da Sophy manake ana cheti cha form four sasa hivi nadhani, lol.
angalia matongozo ya mjini dada, na huo mshepu wako si hatari tupi?

Wanaadamu mna mambo! Hamnachi nikapumzika mwenzenu? Mume wangu ana kwaresma kaanza jana, hata wanae kawapitia hapa kawachukua kenda nao kanisani kuwapaka majivu penye paji la uso. Kwa hiyo tunataka utulivu humu ndani mume wangu na watoto wapo katika mfungo wa kwaresma, msitake kutuharibia na vijineno vyenu vya kashfa. Maana maudhi yana nafasi yake katika kuharibu ibada za watu.
 
jamani nisameheeee, sikunuia kukukwaza. nilitaka tumjuze huyu ajuza Kongosho anaetaka kusoma.
samahani lakini, sasa huyu 'mume' wako si ana ndoa ya kikristo na yule mkewe? kwa hiyo hupati ngono hadi siku 40 ziishe? Manake napata picha mchepuko wa mchipukio, si balaa hilo?

Kwarazma (sijakosea) njema mamie. ila huu ndo wakati ungeanzisha zile thread za majigambo manake huyo baba atakuwa anaenda kwa mkewe 6pm sharp.
Wanaadamu mna mambo! Hamnachi nikapumzika mwenzenu? Mume wangu ana kwaresma kaanza jana, hata wanae kawapitia hapa kawachukua kenda nao kanisani kuwapaka majivu penye paji la uso. Kwa hiyo tunataka utulivu humu ndani mume wangu na watoto wapo katika mfungo wa kwaresma, msitake kutuharibia na vijineno vyenu vya kashfa. Maana maudhi yana nafasi yake katika kuharibu ibada za watu.
 
Last edited by a moderator:
jamani nisameheeee, sikunuia kukukwaza. nilitaka tumjuze huyu ajuza Kongosho anaetaka kusoma.
samahani lakini, sasa huyu 'mume' wako si ana ndoa ya kikristo na yule mkewe? kwa hiyo hupati ngono hadi siku 40 ziishe? Manake napata picha mchepuko wa mchipukio, si balaa hilo?

Kwarazma (sijakosea) njema mamie. ila huu ndo wakati ungeanzisha zile thread za majigambo manake huyo baba atakuwa anaenda kwa mkewe 6pm sharp.

Nimeshakusamehe bure shosty wala usijali. Kuhusu mume wangu wala hakuna cha mchepuko wala nini, unalosema la ndoa ya kikiristo ya kule mbona wala siyo ishu kile cha kule ni cheti, ndoa iko hapa kwangu, upo shosty? Na hapo ndipo mtaona kasoro ya uelewa kwa wenzetu wakiristo, watu ndoa ishakufa bado wanaambiwa ipo ilhali wote wawili wanaona wazi kabisa haipo na tena hawaitaki. Uislamu umeweka vizuri zaidi suala hili, kuwa kama imeshindikana mwanamke anapewa talaka yake wote wanaendelea na maisha yao kwa uhuru na uhalali kamili. Huyu mwenzangu angekuwa mwepesi wa kusilimu mbona tungeshayamaliza kitambo, sema na yeye ana mambo yake anayopenda huko kwenye ukiristo. Mie nimemkubalia bila kinyongo kuwa wanawe wabatizwe wawe wakiristo kama yeye, wala sioni tabu.
 
Back
Top Bottom