Kituo cha kulelea waume za watu....!

Mkare

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2010
Posts
504
Reaction score
79

Attachments

  • husband.jpg
    29 KB · Views: 621
Hahahaha!! Nimependa hii mdau..... lakini ikija bongo wanaowalinda hao hasbands nivema wawe mabaunsa ( sio wanawake)otherwise kama ni mademu jamaa wanaweza kuwachakachua huko huko .........halafu unashangaa kilasiku mwanaume anasisitiza uka mwache day care....
 
hii thread ilisha wekwa hapa mwaka jana, umeirudia bila kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…