Kituo cha kupiga Kura kinaweza kufungwa kwa sababu ya Vurugu

Kituo cha kupiga Kura kinaweza kufungwa kwa sababu ya Vurugu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20201026_195359.jpg

Kwa mujibu wa kifungu cha 60(1) cha Kanuni za Chaguzi za Taifa ( Uchaguzi wa Rais na Wabunge) endapo mchakato wa kupiga kura utaingiliwa au kuharibiwa na vurugu na bado kuna wapigaji kura hawajamaliza kupiga kura, Msimamizi wa kituo ataahirisha mchakato wa kupiga Kura mpaka siku inayofuata na atatoa taarifa haraka kwa Msimamizi mkuu wa Uchaguzi

Aidha Kifungu kidogo cha 2 kinaeleza kuwa :- Iwapo Upigaji Kura utaahirishwa katika kituo chochote, masaa ya kupigia Kura katika Siku nyingine iliyopendekezwa yatakuwa sawa kama yale ya siku halisi ya kupiga Kura
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom