Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
KITUO CHA KUULIZA MASWALI YA KIFALA 1- NA WEWE ULIZA LAKO NA UTAPEWA MAJIBU NA WADAU MBALI MBALI
i. Shilingi 1000/-ni bei gani?- Kisa wa Mbeya
JIBU:Ndugu yangu swali lako zuri sana, uchumi kwa kuwa umepanda na wewe chukua ngazi uufwatie hukohuko maana ukiwa juu alfu ni kama shilingi 900/- lakini ukiwa chini bei ya alfu ni shilingi 600/-
ii. Niko chuoni nasomea unesi, je unadhani nikimaliza shule nitaweza kufanya kazi gani?- Nene wa Kondoa
JIBU: Ukimaliza utakuwa polisi
iii. Je Iringa kubwa kuliko Tanzania?- Magnus wa mafinga
JIBU: Ni wazi wewe ni Mnyalu, ndio Iringa kubwa kuliko Marekani. Angalia kwenye ramani ya Australia utakuta Iringa kaskazini inapakana na Mexico
iv. Je ni kweli binadamu wana miguu miwili?- El Murieti wa Arusha
JIBU: Huo ni uwongo unaoenezwa na wapinzani, tafadhali usidanganyike. Miguu ya kawaida ina binadamu wawili
v. Nimejiangalia kwenye kioo sikujiona, niko wapi?- Chausiku wa Kisarawe
JIBU: Kioo hicho kitakuwa kibovu, si unajua wachina kila kitu wanaleta feki. Kifupi saa hizi uko ahera
vi. Diamond Platnumz ameacha Ubunge wa Chunya?- Fusu wa Kinondoni
JIBU: Diamond ni Mbunge wa kudumu wa bunge la Senegal, aliacha Ubunge wa Chunya kutokana na tatizo la kupatwa kwa jua
vii. Ukichanganya instagram na whatsapp unapata nini?- Stela wa Ostabei
JIBU: Unapata Google, jamani maswali mengi ni ya kitoto mno muwe mnajijibu wenyewe
viii. Nilikuwa macho lakini nikaota nahamia Dodoma, maana yake nini?- Mwanasiasa wa Kagera
JIBU: Maana yake utafungwa kwa wizi wa michango ya serikali za mtaa
ix. Mkanda, mkende , mkindi, mkondo, ….neno gani linafwata?- Msomi- Mabibo Hosteli
JIBU: Inategemea na kiwango chako cha elimu, wengine watasema mkondo wa maji, lakini jibu sahihi ni mkurugenzi
x. Naweza kupiga mswaki na brash ya viatu?- Vanga- Geita
JIBU: Bahati mbaya hukutaja kabila lako, lakini kwa uhakika kabila lenu mtafukuzwa hapa nchini muda si mrefu.
i. Shilingi 1000/-ni bei gani?- Kisa wa Mbeya
JIBU:Ndugu yangu swali lako zuri sana, uchumi kwa kuwa umepanda na wewe chukua ngazi uufwatie hukohuko maana ukiwa juu alfu ni kama shilingi 900/- lakini ukiwa chini bei ya alfu ni shilingi 600/-
ii. Niko chuoni nasomea unesi, je unadhani nikimaliza shule nitaweza kufanya kazi gani?- Nene wa Kondoa
JIBU: Ukimaliza utakuwa polisi
iii. Je Iringa kubwa kuliko Tanzania?- Magnus wa mafinga
JIBU: Ni wazi wewe ni Mnyalu, ndio Iringa kubwa kuliko Marekani. Angalia kwenye ramani ya Australia utakuta Iringa kaskazini inapakana na Mexico
iv. Je ni kweli binadamu wana miguu miwili?- El Murieti wa Arusha
JIBU: Huo ni uwongo unaoenezwa na wapinzani, tafadhali usidanganyike. Miguu ya kawaida ina binadamu wawili
v. Nimejiangalia kwenye kioo sikujiona, niko wapi?- Chausiku wa Kisarawe
JIBU: Kioo hicho kitakuwa kibovu, si unajua wachina kila kitu wanaleta feki. Kifupi saa hizi uko ahera
vi. Diamond Platnumz ameacha Ubunge wa Chunya?- Fusu wa Kinondoni
JIBU: Diamond ni Mbunge wa kudumu wa bunge la Senegal, aliacha Ubunge wa Chunya kutokana na tatizo la kupatwa kwa jua
vii. Ukichanganya instagram na whatsapp unapata nini?- Stela wa Ostabei
JIBU: Unapata Google, jamani maswali mengi ni ya kitoto mno muwe mnajijibu wenyewe
viii. Nilikuwa macho lakini nikaota nahamia Dodoma, maana yake nini?- Mwanasiasa wa Kagera
JIBU: Maana yake utafungwa kwa wizi wa michango ya serikali za mtaa
ix. Mkanda, mkende , mkindi, mkondo, ….neno gani linafwata?- Msomi- Mabibo Hosteli
JIBU: Inategemea na kiwango chako cha elimu, wengine watasema mkondo wa maji, lakini jibu sahihi ni mkurugenzi
x. Naweza kupiga mswaki na brash ya viatu?- Vanga- Geita
JIBU: Bahati mbaya hukutaja kabila lako, lakini kwa uhakika kabila lenu mtafukuzwa hapa nchini muda si mrefu.