Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,601
- 375
Mitihani ya kidato cha nne imeanza Jumatatu ya tarehe 11 Novemba.
Leo Alhamisi moja mitihani waliyofanya ni practical Biology.
Kuna kituo cha watahiniwa binafsi kipo Sinza leo wamewazuwia watoto watano wasiingie kwenye mtihani wakiwa wamefika kituoni saa moja na dk 35 na mtihani umeanza saa nne.
Leo Alhamisi moja mitihani waliyofanya ni practical Biology.
Kuna kituo cha watahiniwa binafsi kipo Sinza leo wamewazuwia watoto watano wasiingie kwenye mtihani wakiwa wamefika kituoni saa moja na dk 35 na mtihani umeanza saa nne.