Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 395
- 357
Hello farmers,
Nimesikia pale Kiluvya kuna kituo cha maziwa, ningependa anayepafahamu ashee ni maeneo gani na mmiliki ni nani.
Nataka kuanza kufuga kwa ajili ya maziwa kwa hiyo nataman kujifunza zaidi.
Yeyote pia anayefuga kibiashara naomba kujifunza shambani kwako.
Shukrani
Nimesikia pale Kiluvya kuna kituo cha maziwa, ningependa anayepafahamu ashee ni maeneo gani na mmiliki ni nani.
Nataka kuanza kufuga kwa ajili ya maziwa kwa hiyo nataman kujifunza zaidi.
Yeyote pia anayefuga kibiashara naomba kujifunza shambani kwako.
Shukrani