Kituo cha mbezi wanagawa used receipt kwa wateja ??

Kituo cha mbezi wanagawa used receipt kwa wateja ??

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
69BF4A3F-616C-4D89-B22C-2EEEE6A52C3C.jpeg

TUKIWA TUNAENDELEA NA KODI YA MSHIKAMANO KUNA HAYA MALALAMIKO TRA NI YA KWELI HAYA ??

"This is what taasisi zinatakiwa kudhibiti kuhakikisha kodi zinakusanywa sawa sawa, tulikosea njia tukaingia kituo cha mbezi mwisho, kwenye kutoka tukalipishwa buku but wametupa risiti iliyotumika huku wanapiga kelele tutoke baada ya kuhoji kwanin tumepewa used receipt"
 
Hii kodi ya uzalendo italeta ujanja ujanja mwingi wa watu kukwepa kulipa kodi....
 
View attachment 1854971
TUKIWA TUNAENDELEA NA KODI YA MSHIKAMANO KUNA HAYA MALALAMIKO TRA NI YA KWELI HAYA ??

"This is what taasisi zinatakiwa kudhibiti kuhakikisha kodi zinakusanywa sawa sawa, tulikosea njia tukaingia kituo cha mbezi mwisho, kwenye kutoka tukalipishwa buku but wametupa risiti iliyotumika huku wanapiga kelele tutoke baada ya kuhoji kwanin tumepewa used receipt"
Kwani uchaguzi mkuu ni lini tena?

Maana kwa sasa kodi zimepanda wao wanatembelea magari mazuri sisi ......[emoji2958][emoji2958]
 
View attachment 1854971
TUKIWA TUNAENDELEA NA KODI YA MSHIKAMANO KUNA HAYA MALALAMIKO TRA NI YA KWELI HAYA ??

"This is what taasisi zinatakiwa kudhibiti kuhakikisha kodi zinakusanywa sawa sawa, tulikosea njia tukaingia kituo cha mbezi mwisho, kwenye kutoka tukalipishwa buku but wametupa risiti iliyotumika huku wanapiga kelele tutoke baada ya kuhoji kwanin tumepewa used receipt"
Alikuchukulia demu nini?
 
Mama nchi ishakushinda, wapigaji wamekuzidi ujanja
 
Back
Top Bottom