Kituo cha radio

Kituo cha radio

Wakwetu03

Senior Member
Joined
Sep 15, 2010
Posts
194
Reaction score
87
Wanajamvi naombeni msaada ya procedure za kuanzisha kituo cha radio.Yaani:-
1)jinsi ya kununua frequency tcra
2)vifaa muhimu
N.B-Mtaji ninao pia majengo ninayo pia.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu
 
Ni vema mkajenga utamaduni wa kueleza mambo hapa jamvini ili na wengine wajifunze. Kuna siri gani basi kwenye taratibu hizo? Radio Producer uko wapi?

KIONGOZI,nafahamiana na watu wenye kumiliki radio,watu wao waliowasaidia kuanzisha radio vilevile chuo changu kinatoa kozi za utangazaji pia (The Arusha East African Training Institute)

nilitaka nimuunganishe nao

unaweza kuendelea kuthubutu kusema sikuwa sahihi baada ya kukupa maelezo haya???
 
Transmitter 6000$
TCRA registration+Consultant fee 4000$
Studio equipments,including sound proof materials and installation 5000$
Other items 2500$
Ni PM nikutumie forms za TCRA,kama upo tayari.

ASANTE brother....
 
anaomba procedures za kufungua kituo cha redio sasa akuPM No. ya nini,kuna siri hapo?

kiongozi,sizijui hivyo ningeandika nini hadharani ambacho sikijui?nimemuomba twende pm ili nimuunganishe na wadau wenye kumiliki radio na wanaojua na wenye uzoefu wa mchakato wa kuanzisha radio!sasa hapo nilichokosea ni nini?

btw,walioweza kutoa jibu la mojakwamoja wameshatoa hivyo lengo la kupata msaada hapa jf limetimia!ubarikiwe
 
Uko wapi?ni pm no zako,mi nipo arusha
huyu alietoa thread kasema kwa benefits za wote sasa wewe unataka habari za PM..mbona unaakili nyeusi wewe jamaaa..kama unafaham vitu tiririka hapa hapa kila mtu aone..sijui haya mabo yatakwisha lini..yan..khaaa...
 
Wadau asanteni sana kwa kutuelimisha. Je kuna mtu anajua gharama za kuanzisha internet radio? Nahisi zitakuwa ndogo zaidi ya radio ya kawaida.
 
huyu alietoa thread kasema kwa benefits za wote sasa wewe unataka habari za PM..mbona unaakili nyeusi wewe jamaaa..kama unafaham vitu tiririka hapa hapa kila mtu aone..sijui haya mabo yatakwisha lini..yan..khaaa...

ok lyamber mimi nina akili nyeusi,its fine!lakini wewe mwenye akili nyeupe unawezaje kukurupuka na kumjibu mtu bila hata ya kupitia michango ya watu wengine au hata kusoma posts kadhaa?kwa sababu kama ungefanya hivyo ungeona ufafanuzi ambao nimetoa,tena upo juu ya post yako hii wala sio mbali!

na kama hautajifunza kitu ktk hiki nilichokuambia basi endelea tu kufikiria nina akili nyeusi!
 
Hivi kwa huu umeme wa kibongo, ili redio yako iwe hewani muda wote ni majenereta ya aina gani yanatumika kwenye vituo vya redio? na bei yake ni pesa ngapi?

Pia kwa hiyo bei hapo juu, hiyo aina ya radio masafa yake yanafika mpaka wapi au ndo zile redio zinasikika kuanzia manzese mpaka ubungo tu?
 
hahaha, ulikuwa unataka pm ili iweje,

au ulikuwa unataka upokee rushwa?

hahaha, umejuuta kuandika ile komenti!!


ok lyamber mimi nina akili nyeusi,its fine!lakini wewe mwenye akili nyeupe unawezaje kukurupuka na kumjibu mtu bila hata ya kupitia michango ya watu wengine au hata kusoma posts kadhaa?kwa sababu kama ungefanya hivyo ungeona ufafanuzi ambao nimetoa,tena upo juu ya post yako hii wala sio mbali!

na kama hautajifunza kitu ktk hiki nilichokuambia basi endelea tu kufikiria nina akili nyeusi!
 
Back
Top Bottom