Kituo cha runinga chafungiwa kwa kuonesha vibonzo vya ngono Kenya

Kituo cha runinga chafungiwa kwa kuonesha vibonzo vya ngono Kenya

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeifungua kwa muda wa wiki nne runinga ya Mt. Kenya TV kwa kukikuka sheria na kanuni za maadili. Mamlaka hiyo imeitoza runinga hiyo faini ya Dola 5,000 za Marekani kwa kupeperusha kipindi cha vibonzo kilichokuwa na maudhui yasiyo na staha.

Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy WanjauImage caption: Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy Wanjau
Akitangaza adhabu hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Kenya Bi. Mercy Wanjau amesema walipokea malalamiko kwamba kituo hicho cha runinga kilipeperusha picha zisizofaa mnamo Aprili 19, 2021, saa nane mchana, kinyume na kanuni za utangazaji.

Mt. Kenya TV inayopeperusha matangazo yake kwa lugha ya Kikuyu, inadaiwa kupeperusha vibonzo vya ngono katika kipindi chake ‘Mucii wa Ciina’ wakati ambapo watoto wengi wako nyumbani.

Hii si mara ya kwanza kwa vyombo vya habari vya Kenya kufungiwa.

1619674045018.png
 
Hehehe!! Nimependa ulivyohitimisha...eti "Hii sio mara ya kwanza vyombo vya habari Kenya kufungiwa", umeweka wazi maudhui ya uzi wako.

Hata hivyo, duh! Kama kweli walipeperusha vibonzo vya xxx kwenye runinga wafungiwe tu pumbavu zao, mimi hapa ni mzazi na najaribu kuwaza inavyoweza kuwa pale nimekaa sebuleni tunatazama runinga na familia halafu ghafla tuanze kuonyeshwa watu wakinyanduana, sijui nitaificha wapi sura yangu kwa aibu.
Siku hizi hata video za kwenye miziki ni porno tupu...
 
Vibonzo vilikuwa vinaagana kama Zembwela (Beka) anavyomuaga Easter.
 
Hehehe!! Nimependa ulivyohitimisha...eti "Hii sio mara ya kwanza vyombo vya habari Kenya kufungiwa", umeweka wazi maudhui ya uzi wako.

Hata hivyo, duh! Kama kweli walipeperusha vibonzo vya xxx kwenye runinga wafungiwe tu pumbavu zao, mimi hapa ni mzazi na najaribu kuwaza inavyoweza kuwa pale nimekaa sebuleni tunatazama runinga na familia halafu ghafla tuanze kuonyeshwa watu wakinyanduana, sijui nitaificha wapi sura yangu kwa aibu.
Siku hizi hata video za kwenye miziki ni porno tupu...
Mkuu, hivi wale Genge tone zile nyimbo zao huwa zinaonyeshwa kwenye luninga?
 
Mkuu, hivi wale Genge tone zile nyimbo zao huwa zinaonyeshwa kwenye luninga?

Yaani tu basi, siku hizi ni changamoto kukaa mtazame runinga na watoto, kwanza vipindi vya miziki.....unawaachia tu waone hayo maporno wenyewe.
 
`Free Jimmyʼ is the animated movie, sasa kama wataka kujua yasemaje, wewe nenda ka download ucheki mwenyewe! 🤣
 
`Free Jimmyʼ is the animated movie, sasa kama wataka kujua yasemaje, wewe nenda ka download ucheki mwenyewe! 🤣

Nimeona trailer yake, pumbavu sana kama walipeperusha kitu kama hiki kwenye runinga inayotazamwa na watoto, kuna sehemu inaonyesha jamaa ananyandua demu balaa....

2756520_400094500501_500789.jpg



 
View attachment 1766571Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeifungua kwa muda wa wiki nne runinga ya Mt. Kenya TV kwa kukikuka sheria na kanuni za maadili. Mamlaka hiyo imeitoza runinga hiyo faini ya Dola 5,000 za Marekani kwa kupeperusha kipindi cha vibonzo kilichokuwa na maudhui yasiyo na staha.
View attachment 1766570
Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy WanjauImage caption: Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy Wanjau
Akitangaza adhabu hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Kenya Bi. Mercy Wanjau amesema walipokea malalamiko kwamba kituo hicho cha runinga kilipeperusha picha zisizofaa mnamo Aprili 19, 2021, saa nane mchana, kinyume na kanuni za utangazaji.

Mt. Kenya TV inayopeperusha matangazo yake kwa lugha ya Kikuyu, inadaiwa kupeperusha vibonzo vya ngono katika kipindi chake ‘Mucii wa Ciina’ wakati ambapo watoto wengi wako nyumbani.

Hii si mara ya kwanza kwa vyombo vya habari vya Kenya kufungiwa.
Kenya huwa hawavumilii udaku na upumbavu kama Tanzania na magazeti machafu ya shingongoli.
 
Nimeona trailer yake, pumbavu sana kama walipeperusha kitu kama hiki kwenye runinga inayotazamwa na watoto, kuna sehemu inaonyesha jamaa ananyandua demu balaa....

2756520_400094500501_500789.jpg



dammit! Kuna jamaa kwa production walilala, wah. Alafu kwenye program ya watoto? , hawa watu wanakuanga wamesoma wapi, hawajui sio kila cartoon inakuanga ya watoto, some of them are explicit asf. Sasa ata wangefungiwa miezi tatu, it's their own fault, why hawakuangalia kabla wa air hiyo kitu! 😳
 
Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeifungua kwa muda wa wiki nne runinga ya Mt. Kenya TV kwa kukikuka sheria na kanuni za maadili. Mamlaka hiyo imeitoza runinga hiyo faini ya Dola 5,000 za Marekani kwa kupeperusha kipindi cha vibonzo kilichokuwa na maudhui yasiyo na staha.

Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy WanjauImage caption: Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy Wanjau
Akitangaza adhabu hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Kenya Bi. Mercy Wanjau amesema walipokea malalamiko kwamba kituo hicho cha runinga kilipeperusha picha zisizofaa mnamo Aprili 19, 2021, saa nane mchana, kinyume na kanuni za utangazaji.

Mt. Kenya TV inayopeperusha matangazo yake kwa lugha ya Kikuyu, inadaiwa kupeperusha vibonzo vya ngono katika kipindi chake ‘Mucii wa Ciina’ wakati ambapo watoto wengi wako nyumbani.

Hii si mara ya kwanza kwa vyombo vya habari vya Kenya kufungiwa.

View attachment 1767207
Eti wao wana Uhuru wa habari. Tanzania akifanya hivyo ahaaaaaa awana Uhuru wa habari
 
Eti wao wana Uhuru wa habari. Tanzania akifanya hivyo ahaaaaaa awana Uhuru wa habari
Wacha akili finyu, hivi hata kukiwa na uhuru wa habari, kuna rules and regulations wanahabari na stesheni zao wanafaa kuzifuata to the point to avoid collision with the society. Mfano, kupeperusha video chafu kwenye programu za watoto, kudhalilisha jinsia ya kike live on air, kutukuza ukabila na sheria zingine za maana tu ambazo hata mtu timamu atazielewa.
Sio ka nyinyi, mkulungwa akipost kitu kibaya kuhusu chama tawala au watawala wenyewe, mko mbio mbio, kumkamata, sasa asifanye kazi yake ya kuwapa jamii info muhimu za uwazi kuhusu serikali yao? Huo ndio tunauita kukosa uhuru wa habari/kujieleza. Ma dictator ndio style yao hiyo. Hatufanani kwa hilo!
 
Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeifungua kwa muda wa wiki nne runinga ya Mt. Kenya TV kwa kukikuka sheria na kanuni za maadili. Mamlaka hiyo imeitoza runinga hiyo faini ya Dola 5,000 za Marekani kwa kupeperusha kipindi cha vibonzo kilichokuwa na maudhui yasiyo na staha.

Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy WanjauImage caption: Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano, Bi. Mercy Wanjau
Akitangaza adhabu hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Kenya Bi. Mercy Wanjau amesema walipokea malalamiko kwamba kituo hicho cha runinga kilipeperusha picha zisizofaa mnamo Aprili 19, 2021, saa nane mchana, kinyume na kanuni za utangazaji.

Mt. Kenya TV inayopeperusha matangazo yake kwa lugha ya Kikuyu, inadaiwa kupeperusha vibonzo vya ngono katika kipindi chake ‘Mucii wa Ciina’ wakati ambapo watoto wengi wako nyumbani.

Hii si mara ya kwanza kwa vyombo vya habari vya Kenya kufungiwa.

View attachment 1767207
Kifungwe tu. Uzinzi ni dhambi
 
Back
Top Bottom