Kituo gani kinarusha mkutano wa kwanza wa bunge la katiba.?

Kituo gani kinarusha mkutano wa kwanza wa bunge la katiba.?

Eswa

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
231
Reaction score
617
Wadau ni kituo gani kinarusha mkutano wa bunge la katiba.?
 
Wadau aliye na Ratiba sahihi ya Bunge la Katiba linaloanza leo tafadhali anipe,vile vile ni Channel zipi zimeidhinishwa kurusha?au ni ileile ambayo wajumbe wakizinguana wanakata umeme?Tafadhali nipeni uhalisia wakuu maana nimeomba ruhusa ya bila malipo ili nishuhudie Katiba yangu itakavyopitishwa.
 
Katibu wa Bunge anasema kituo chochote cha TV kinaruhusiwa kurusha matangazo hayo
 
hata mimi nipo interested kujua channel ipi itaonyesha...so far 0!
 
mkuu ungeendelea tu na kazi.
Niliposikia 75% ya wajumbe ni makada wa ccm,kwa kweli sina hata hamu ya kuangalia maana kila kitu kitakuwa ni ndiooo.......
 
Wadau aliye na Ratiba sahihi ya Bunge la Katiba linaloanza leo tafadhali anipe,vile vile ni Channel zipi zimeidhinishwa kurusha?au ni ileile ambayo wajumbe wakizinguana wanakata umeme?Tafadhali nipeni uhalisia wakuu maana nimeomba ruhusa ya bila malipo ili nishuhudie Katiba yangu itakavyopitishwa.

uvivu mpaka kwenye kongosho, yaani unaomba likizo bila malipo ili uangalie TV?
 
Watch TBCCCM leo sa8 wanachagua mwenyekiti na makamu atakayeongoza kikao kwa mda ni pando kificho
 
Back
Top Bottom