amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Habari wanajamii wenzangu.
Je, ukipata hela ni wazo lipi bora kulifanya kati ya mawazo yafuatayo?
1. Kununua kiwanja au viwanja kwaajili ya uwekezaji wa baadaye.
2. Kufanya biashara ya mazao.
3. Kuhifadhi pesa fixed account au tresuary bond na bills.
4. Kununua vyombo vya usafirishaji Kama Bajaji na Pikipiki.
Kwa maoni yako wazo lipi ni bora na kwanini?
Shukrani.
Je, ukipata hela ni wazo lipi bora kulifanya kati ya mawazo yafuatayo?
1. Kununua kiwanja au viwanja kwaajili ya uwekezaji wa baadaye.
2. Kufanya biashara ya mazao.
3. Kuhifadhi pesa fixed account au tresuary bond na bills.
4. Kununua vyombo vya usafirishaji Kama Bajaji na Pikipiki.
Kwa maoni yako wazo lipi ni bora na kwanini?
Shukrani.