Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
1. Mtu anayejua, na anajua kwamba anajua. Huyu ndiye mwanazuoni, basi mzingatieni na mjifunze kwake.
2. Mtu anayejua, lakini hajui kwamba anajua. Huyu amesahau, basi mkumbushe kimya kimya.
3. Mtu ambaye hajui, na anajua kwamba hajui. Huyu ni mwanafunzi basi msomeshe mfululizo maana siku moja atakuwa mwanazuoni au msomi mkubwa.
4. Mtu ambaye hajui, na hajui kwamba hajui na hata hajali kujua. Huyu ni mjinga, basi mkatae.
2. Mtu anayejua, lakini hajui kwamba anajua. Huyu amesahau, basi mkumbushe kimya kimya.
3. Mtu ambaye hajui, na anajua kwamba hajui. Huyu ni mwanafunzi basi msomeshe mfululizo maana siku moja atakuwa mwanazuoni au msomi mkubwa.
4. Mtu ambaye hajui, na hajui kwamba hajui na hata hajali kujua. Huyu ni mjinga, basi mkatae.