Kiufundi na Kimkakati napendekeza Kikosi cha Simba SC leo kiwe ni Kimojawapo cha hivi Viwili tajwa hapa

Watu
Simba hawawezi kushinda leo, unapoteza muda wako, Yanga anashinda, au sare
Hawazijui hizi timu za kariakoo. Yani leo yanga anashinda simba watapambana kupata sare. Japo wazee wa kuchungulia walisema kua simba alikua anaongoza jana ila yanga ni wazee wa kupindua siku hio hio na hii mechi wanaitaka haswa. Mind you kitu kingine ambacho nadhani wengi hawajakijua. Ihefu kama alikua anatumwa kupunguza point za yanga msimu huu anashuka daraja. Hii post jaribuni kuisave
 
Huyo dogo na Robertinho wote ni wagaga wa kianyeji kabisa na tushashtukia hilo. Leo hawachomoki
Popoma hata upange kikosi vipi leo ili mradi golini yuko Aly Salim basi chuma 4 zitapita hapohap
 
Kocha aangalie zaidi jinsi timu inavyojilinda, matobo mengi sana hata ukiangalia kwenye mechi tano zilizopita tumeruhusu magoli sita... Cleansheet bado ni tatizo..
 
Pumbastic @
 
Nimeota Simba amefungwa 0-7 huku upande wa Yanga wakiwa na hart trick mbili
Angalia chupi imejaa kinyesi hiyo,kila ulivyokuwa unashangilia goli na kipande cha gogo kinatoka,una vikimba saba kwenye chupi hapo
 
Siku ya leo ni ya ushindi kwamba inanyesha Dar ni muda sasa mashabiki wa Simba kuomba mvua ikate tuwakande hawa wateja wetu
 
aise hizi vikosi vya nyuma ya keyboard ni motroo [emoji91] sana aise, Lakini hata na hivo mnyama nanakufa goli 3-1, bila wasi wala tashwishwi yeyote mbele ya kikosi kipana, imara, tulivu na kisicho na papara wala mdomo....
Midomo haichezi mpira.

Kujiamini kwenu ndiyo maumivu yenu.
 
We matako wew mara game iahirishwe mara uje na uzi wa kikosi sasa tukuelewe vipi
 
namefurahishwa na hili kosi kwakweli
 
Bangi uliyoivuta leo uliihakiki kama haikuchanganywa na Kinyesi cha / Mavi ya Binadamu / Mwanadamu?
Haikuchanganywa ilikuwa pure sana mkuu sema pacome ndio alizingua angepiga v pass na manula asingefanya double save tungefikia lengo la 7
Diara aliambiwa na Gamondi awape Moja ili mvutike mje kutaka zaidi na ndio ikawa ilivyokuwa
Game two mtakuja kulipiza kisasi hahaha hapo mnakula 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…