Kiufundi siioni kabisa Simba SC ya Kuifunga Yanga SC iliyo bora ndani na nje ya Uwanja katika Derby ijayo

Kiufundi siioni kabisa Simba SC ya Kuifunga Yanga SC iliyo bora ndani na nje ya Uwanja katika Derby ijayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nasikitika tu kuwa nitapokea Kipigo Kitakatifu kutoka hapa Jijin Kampala nchini Uganda niliko sasa na tayari niko katika Mchakato wa Kumtafuta Mrembo Mmoja wa Kiganda au Kinyankole au Mhima ili Siku hiyo anipunguzie Machungu ya Kipigo Kitakaifu na cha Kishalubela ambacho nina uhakika Simba SC yangu inaenda Kukipokea kutoka kwa Yanga SC.
 
KUIBUKA KWA KWA DINI MPYA YA SIMBA NA YANGA.

Tumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.

Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.

Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.

Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
KUIBUKA KWA KWA DINI MPYA YA SIMBA NA YANGA.

Tumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.

Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.

Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.

Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
wewe nae umezidi hayo maarifa yako yakuepuka soka kaanayo mwenyewe unafikiri kila mtu hajielewi nini kila siku liujumbe kama hupendi si wewe... ukute unaandika hivi na umeshikilia dini za wazungu ama waarabu nawe ni ng'ombe kama ng'ombe nyengine tu karagabao... nafikiri unahitaji maarifa bado... jibu lako kwenye komenti yangu litaeleza taswira nzima ya ubongo wako sasa komenti kama kenge unakula tusi zuri tu...
 
wewe nae umezidi hayo maarifa yako yakuepuka soka kaanayo mwenyewe unafikiri kila mtu hajielewi nini kila siku liujumbe kama hupendi si wewe... ukute unaandika hivi na umeshikilia dini za wazungu ama waarabu nawe ni ng'ombe kama ng'ombe nyengine tu karagabao... nafikiri unahitaji maarifa bado... jibu lako kwenye komenti yangu litaeleza taswira nzima ya ubongo wako sasa komenti kama kenge unakula tusi zuri tu...
Huyo Mpumbavu anachokijua ni Kunichukia tu GENAMYCINE hapa JamiiForums na hana lingine analojua na ndiyo maana huwa akijaa tu katika Frame ( 18 zangu ) huwa nampa Dozi yake immediately kama ambavyo nimetoka kumpa hapo juu.

Na labda kwa Kukusaidia tu hiyo ni ID mbadala ya yule niliyemshinda katika Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums mwaka juzi ihivyo bado ana Hasira nami kwani kuna Wapumbavu wenzake walimuaminisha na kumdanganya kuwa ataweza kushindana nami MBARIKIWA na TAJIRI wa Maarifa, Akili na Maono.
 
Japo derby ya Simba na Yanga huwa ni ngumu sana lakini Simba wakicheza kizembe kama walivyocheza na mashujaa wanaenda kuaibika vilivyo.

BTW; timu inahitaji kusajili wachezaji washindani haswaa!
Tajiri akiendelea kuwa huyo Kibyongo wenu sahauni Maendeleo yoyote yale kwani ni Mnafiki na hana Uchungu na Simba SC.
 
wewe nae umezidi hayo maarifa yako yakuepuka soka kaanayo mwenyewe unafikiri kila mtu hajielewi nini kila siku liujumbe kama hupendi si wewe... ukute unaandika hivi na umeshikilia dini za wazungu ama waarabu nawe ni ng'ombe kama ng'ombe nyengine tu karagabao... nafikiri unahitaji maarifa bado... jibu lako kwenye komenti yangu litaeleza taswira nzima ya ubongo wako sasa komenti kama kenge unakula tusi zuri tu...
Hahahahaha
 
Tajiri akiendelea kuwa huyo Kibyongo wenu sahauni Maendeleo yoyote yale kwani ni Mnafiki na hana Uchungu na Simba SC.
Atakalishwa kando muda si mrefu ikiwa timu itaendelea kufanya vibaya kwenye mechi zake.

Wanachama na mashabiki wa Simba na Yanga hawakubali timu zao kuburuzwa buruzwa bila mwelekeo kwa muda mrefu.
 
Tafuta aina hii uangalie nae mpira machungu hutayasikia
1712894812803.png
 
Tafuta aina hii uangalie nae mpira machungu hutayasikia
View attachment 2961229
Huyo wa Pili kutoka Kulia ( mfupi kuliko Wote Pichani ) ningemchagua kwani huwa napenda mno Wanawake wenye Utege kama wake kwani huwa na Mbunye tamu na hazinuki kwakuwa uwepo wa huo Utege husaidia Hewa kupita vyema Mbunyeni na kupunguza Kaharufu Koa kwa Asili tofauti na Wanawake wenye Matege ya Kubana ( kuingia ndani ) au wenye Miguu minene ambao Wengi Wao Mbunye zao huwa ni kama Dampo Kuu la Taifa la Pugu kwa Harufu Mbaya na Kero.
 
Atakalishwa kando muda si mrefu ikiwa timu itaendelea kufanya vibaya kwenye mechi zake.

Wanachama na mashabiki wa Simba na Yanga hawakubali timu zao kuburuzwa buruzwa bila mwelekeo kwa muda mrefu.
Wana Simba SC ni Wapole na hatuna Ubavu huo. Ninachowapendea Yanga SC huwa hawamcheleweshi Mpumbavu yoyote.
 
Huyo wa Pili kutoka Kulia ( mfupi kuliko Wote Pichani ) ningemchagua kwani huwa napenda mno Wanawake wenye Utege kama wake kwani huwa na Mbunye tamu na hazinuki kwakuwa uwepo wa huo Utege husaidia Hewa kupita vyema Mbunyeni na kupunguza Kaharufu Koa kwa Asili tofauti na Wanawake wenye Matege ya Kubana ( kuingia ndani ) au wenye Miguu minene ambao Wengi Wao Mbunye zao huwa ni kama Dampo Kuu la Taifa la Pugu kwa Harufu Mbaya na Kero.
Sifa nyingine ni kuwa unaweza kupitisha mkuyenge mkiwa mmesimama yaani anakaanga mboga huku paipu ikiwa ndani kwa sababu ya hako kautege
 
Sifa nyingine ni kuwa unaweza kupitisha mkuyenge mkiwa mmesimama yaani anakaanga mboga huku paipu ikiwa ndani kwa sababu ya hako kautege
Wewe Pimbi unaonekana ni Mhuni mno na unapenda Kubandua mno Kudadadeki zako. Nimecheka sana kwa Post yako.
 
Nasikitika tu kuwa nitapokea Kipigo Kitakatifu kutoka hapa Jijin Kampala nchini Uganda niliko sasa na tayari niko katika Mchakato wa Kumtafuta Mrembo Mmoja wa Kiganda au Kinyankole au Mhima ili Siku hiyo anipunguzie Machungu ya Kipigo Kitakaifu na cha Kishalubela ambacho nina uhakika Simba SC yangu inaenda Kukipokea kutoka kwa Yanga SC.
Mkuu uliza maana ya kateleloooooo
 
Atakalishwa kando muda si mrefu ikiwa timu itaendelea kufanya vibaya kwenye mechi zake.

Wanachama na mashabiki wa Simba na Yanga hawakubali timu zao kuburuzwa buruzwa bila mwelekeo kwa muda mrefu.
Mnamkalishaje pembeni wakat mshamoa his over 45% ya umiliki. Haya ni mambo ya kimikataba na ili hilo liwezekane ni yeye kuamua kuuza hizo hisa kwa hiyari yake au hisa zenu hizo za over 50% mumuzie muwekezaji mwingine awe na nguvu kuliko Mo na nyie mbaki na 0,muwe washabiki rasmi
 
Huyo wa Pili kutoka Kulia ( mfupi kuliko Wote Pichani ) ningemchagua kwani huwa napenda mno Wanawake wenye Utege kama wake kwani huwa na Mbunye tamu na hazinuki kwakuwa uwepo wa huo Utege husaidia Hewa kupita vyema Mbunyeni na kupunguza Kaharufu Koa kwa Asili tofauti na Wanawake wenye Matege ya Kubana ( kuingia ndani ) au wenye Miguu minene ambao Wengi Wao Mbunye zao huwa ni kama Dampo Kuu la Taifa la Pugu kwa Harufu Mbaya na Kero.
Hapo umeongea ukweli mkuu, wenye tege la hvo ni Mali safi sana No FUNGUS NO SMELL🥰
 
Hapo umeongea ukweli mkuu, wenye tege la hvo ni Mali safi sana No FUNGUS NO SMELL🥰
Nina PhD ya Kujua aina ya Mbunye na ndiyo maana umeona ya huyo mwenye Utege huo nimeihambua Kiuweledi zaidi.
 
Nasikitika tu kuwa nitapokea Kipigo Kitakatifu kutoka hapa Jijin Kampala nchini Uganda niliko sasa na tayari niko katika Mchakato wa Kumtafuta Mrembo Mmoja wa Kiganda au Kinyankole au Mhima ili Siku hiyo anipunguzie Machungu ya Kipigo Kitakaifu na cha Kishalubela ambacho nina uhakika Simba SC yangu inaenda Kukipokea kutoka kwa Yanga SC.
Ishu ni kutokwenda uwanjani wapuuzi sana.
Namvizia Ahmed Ally apite kitaan kwetu manzese na kispika chake,,hakiyanan namrushia mawe.
Jamaa anatuona sisi kama nguchirooooo.
Hiyo siku ya mechi ntaenda zangu uwanja wa fisi kupunguza mawazo,pale Kuna totoz hadi za buku mbili.
Ukiwa kontawa kama Mimi hyo buku mbili unapiga mzigo halafu baadae saa sita usiku unarudi kujivinjari Hadi asubuhi!
 
Nasikitika tu kuwa nitapokea Kipigo Kitakatifu kutoka hapa Jijin Kampala nchini Uganda niliko sasa na tayari niko katika Mchakato wa Kumtafuta Mrembo Mmoja wa Kiganda au Kinyankole au Mhima ili Siku hiyo anipunguzie Machungu ya Kipigo Kitakaifu na cha Kishalubela ambacho nina uhakika Simba SC yangu inaenda Kukipokea kutoka kwa Yanga SC.
Kweli kabisa tatizo lipo kubwa sana, ni tusubirie msimu uishe basi tujipange upya maana kila tunapogusa tunashindwa, hili ni lalazima kujipanga upya ili turudishe makali yetu ya nyuma.
 
Back
Top Bottom