Kiukweli Adamu mchomvu hajui kuimba

Jamaa kutangaza serious hawezi,anytime yeye ni comedy tu.ila ananogesha vipindi.ila huyu jamaa analazimisha sana kuwa msanii wa hiphop,kurap hawezi kabisa yaani sijui kwa nini analazimisha
Nilikuwa namsikiliza sana hapa kaurudia mara mbili hapo ni radio yao inambeba...nikawa nacheka kimoyomoyo...mimi ningeacha kuimba aende bongo movie asilazimishe fun.
 
Jamaa kutangaza serious hawezi,anytime yeye ni comedy tu.ila ananogesha vipindi.ila huyu jamaa analazimisha sana kuwa msanii wa hiphop,kurap hawezi kabisa yaani sijui kwa nini analazimisha
Haya ni maoni yako,na huko huru kusema haya. Ni kama zile timu za humu zinazosema msanii wa upande wa 2 hajui kuimba ila wa timu yao ndio anajua.
 
Kwenye sporah show interview yake adam alisema:
Hawezi kuacha rap kwasababu anaipenda.hata akikosa show yeye ataendelea kufanya kitu anachokipenda.hata kama promo hatapata kupitia media nyingine hatojali.japo hapati pesa nyingi sometimes anapata hela ya kujaza gari mafuta laki8 hivi mkito.
 
Hana kipaji ila anatumia fursa kuteleza kwenye ganda la ndizi.

hahaha. ....jamani wakati mwingine muwe mnasubiri tushibe.
Mambo ya kuchekeshana na njaa mtatusababishia vidonda vya tumbo.
 
adam sio muimbaji ni rapper anaefanya rap katuni anauwezo sana mbona we skiliza line zake huyu jamaa ana tarrent anaonesha utofauti wake sana yupo gud mbona mkuu

mambo ya mapendo hayo....pengo na mwanya, chongo na kengeza!
 
Kama unapenda rap na unaifeel mchomvu rap anajua, ana punch anajua kubadilika had kucheza na maneno. Ila naona kama anafanya for fun wakat kuna rappers hapa bongo wapo sirias lakin hawamfikii huyu jamaa. Kwenye utangazaji sjui mi spo vzur kufuatilia vipind
 
Jamaa kutangaza serious hawezi,anytime yeye ni comedy tu.ila ananogesha vipindi.ila huyu jamaa analazimisha sana kuwa msanii wa hiphop,kurap hawezi kabisa yaani sijui kwa nini analazimisha
kujua anajua isipokuwa kama radio moja tz nzima ndo inayokupa sapot ndo mana anafanya mziki anavyojua yeye kuna nyimbo kama bwana shamba na aisha zilikuw nzuri
 
Jamaa mbona yupo vizuri hana tatizo bhana!

Hata mnazi ulianza kama mbuyu
 
Jamaa mbona yupo vizuri hana tatizo bhana!

Hata mnazi ulianza kama mbuyu
 
Jamaa mbona yupo vizuri hana tatizo bhana!

Hata mnazi ulianza kama mbuyu
Duh[emoji15] kweli kipenda roho....mmekalilishwa kwamba nyimbo hizo ni nzuri,yaani akisema b12 kitu basi na nyie mnakalili kweli
kujua anajua isipokuwa kama radio moja tz nzima ndo inayokupa sapot ndo mana anafanya mziki anavyojua yeye kuna nyimbo kama bwana shamba na aisha zilikuw nzuri
 
adam sio muimbaji ni rapper anaefanya rap katuni anauwezo sana mbona we skiliza line zake huyu jamaa ana tarrent anaonesha utofauti wake sana yupo gud mbona mkuu
Ni kweli ana tarrent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…