johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hakuna chama chochote cha siasa hapa nchini ambacho Fikra za mwenyekiti wake zinaweza kupingwa ama kupuuzwa.
Walau kwa mbali CCM wanaweza kum-challenge mwenyekiti wao kwenye vikao, tuliona kijana mmoja wa UVCCM akimpinga Hayati Magufuli kwenye mkutano namna David Silinde anavyopendelewa kwenye kura za maoni.
Lakini vyama vya upinzani mwenyekiti ni Mungu mtu kwa mfano Chadema au NCCR, CUF nk
Miaka 60 ya Uhuru.
Maendeleo hayana vyama!
Walau kwa mbali CCM wanaweza kum-challenge mwenyekiti wao kwenye vikao, tuliona kijana mmoja wa UVCCM akimpinga Hayati Magufuli kwenye mkutano namna David Silinde anavyopendelewa kwenye kura za maoni.
Lakini vyama vya upinzani mwenyekiti ni Mungu mtu kwa mfano Chadema au NCCR, CUF nk
Miaka 60 ya Uhuru.
Maendeleo hayana vyama!