Kiukweli Kariakoo hakunaga mfanyabiashara wa Kujenga ghorofa lenye Viwango, hawana fedha hizo. Angalia gharama ya ukarabati wa Soko la Serikali!

Kiukweli Kariakoo hakunaga mfanyabiashara wa Kujenga ghorofa lenye Viwango, hawana fedha hizo. Angalia gharama ya ukarabati wa Soko la Serikali!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kariakoo ni Mji mkongwe na ukitaka kujenga ghorofa Basi ujue itapita miaka 100 bila kurudisha gharama ya uwekezaji, Wataalam wa RoI mnaelewa Vizuri

Hii ndio sababu maghorofa yote ya kariakoo Yako chini ya Viwango

Unadhani kwanini NHC hawabomoi Nyumba zao za Kariakoo na kujenga ghorofa na badala yake wamekimbilia Morocco na Kawe?

Kariakoo ni Mji mkongwe kama Mburahati na miundombinu yake yote ni chakavu.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mji wa Biashara utafutiwe eneo Jipya na wenye mitaji mikubwa ya kitaasisi ndio wasimamiwe Kitaaluma kujenga Majengo yenye Viwango

Ahsanteni sana

Mlale unono 😄
 
Ul
Kariakoo ni Mji mkongwe na ukitaka kujenga ghorofa Basi ujue itapita miaka 100 bila kurudisha gharama ya uwekezaji, Wataalam wa RoI mnaelewa Vizuri

Hii ndio sababu maghorofa yote ya kariakoo Yako chini ya Viwango

Unadhani kwanini NHC hawabomoi Nyumba zao za Kariakoo na kujenga ghorofa na badala yake wamekimbilia Morocco na Kawe?

Kariakoo ni Mji mkongwe kama Mburahati na miundombinu yake yote ni chakavu

Mji wa Biashara utafutiwe eneo Jipya na wenye mitaji mikubwa ya kitaasisi ndio wasimamiwe Kitaaluma kujenga Majengo yenye Viwango

Ahsanteni sana

Mlale unono 😄
Ule mradi wa bonde la msimbazi kimsingi ulipaswa kuimeza Kariakoo yote.
 
Tusipowaonya watatoana uhai
 

Attachments

  • IMG-20241117-WA0032.jpg
    IMG-20241117-WA0032.jpg
    118.5 KB · Views: 6
Kariakoo ni Mji mkongwe na ukitaka kujenga ghorofa Basi ujue itapita miaka 100 bila kurudisha gharama ya uwekezaji, Wataalam wa RoI mnaelewa Vizuri

Hii ndio sababu maghorofa yote ya kariakoo Yako chini ya Viwango
Huwezi kulinganisha gharama za majengo binafsi na miredi ya serikali. Nadhani umeona humu JF madaraja yanayojengwa na serikali, daraja ambalo thamani yake ni milioni 150 unaambiwa limegharimu milioni 700. Ndio maana Tanzania watu walio matajiri ni wanasiasa na viongozi wa taasisi za serikali, sio wafanya biashara.
 
Wewe unazungumzia Rushwa bali Mimi nazungumzia Viwango

Niko hapa jirani na Soko Dogo la Kariakoo lililobomolewa na kujengwa upya likiwa na ghorofa

Nondo zilizoingia pale chini unaweza kujenga maghorofa haya ya Wakinga 100
 
Hivi Kariakoo wanaolenga wafanyabiashara na sehemu kama Morocco wanakolenga wapangaji makampuni wapi kuna rudisha pesa kwa pango? Ukiangalia na uwezekano wa kujaza jengo.
 
Hivi Kariakoo wanaolenga wafanyabiashara na sehemu kama Morocco wanakolenga wapangaji makampuni wapi kuna rudisha pesa kwa pango? Ukiangalia na uwezekano wa kujaza jengo.
Labda NSSF pale Morogoro na Bibi Titi ndio yaliwahi Kujaza wapangaji na huenda payback period yake walishaifikia

Haya Majengo Mengine kuanzia Ghorofa ya 10 utakuta yapo tupu wanalala popo tu 😂
 
Back
Top Bottom