one cater
JF-Expert Member
- Jun 10, 2014
- 368
- 153
Habari Za Mchana Wana Jamvi,
Kwa Kifupi Tu Mimi Ni Mkazi Wa Mbezi-Msuguri, Miez 3 Imepita Toka Nilipoamua Kufunga Ofisi Yangu Ya Biashara Ya Uwakala (M-pesa na Tigo pesa).
Kilichonisababisha Nije Humu Ni Kuomba Msaada Wa Mawazo Baada Ya Kufikiria Sana Cha Kufanya Na Kutokupata Jibu La Kuridhisha, Ni Hivi Hapa Ninapofanya Hii Kazi Yangu Kwa Bahati Nzuri Nilibahatika Kupata Fremu Ambayo Ni Kubwa na Kama Mnavyojua Kuwa Hii Kazi Haitaji Eneo Kubwa Sana, Inahitaji Meza Pesa Na Simu Zako Za Kazi.
Sasa Kinachoniumiza Roho Ni Kuona Nimekaa Katika Chumba Kikubwa Ambacho Kipo Wazi Wakati Ninaweza Nikaongeza Vitu Vingine Ambavyo Vinaweza Kuboresha Kipato
Changu.
Nilikuwa Nahitaji Kuongeza Bizness Ambayo Ni Tofauti Kidogo Na Wafanya Biashara Wengi Wa Eneo Hili Nilipo, Maana Hapa Kuna Wafanyabiashara Wengi Kidogo Wa Maduka Ya Rejareja, Vinyawi, Stationary, Japo Nafanya Na Biashara Kama Ya Kuuza Vocha, Kusajili, Tigo Rusha Vyote Nafanya, Ila Sijaridhika kwasababu Bado Nina Eneo Kubwa Lililo Wazi.
Nilichokuwa Nahitaji Ni Idea Nyingine Nzuri Ya Biashara Ambayo Naweza Kufanya Ya Tofauti Kidogo Na Wafanyabiashara Wa Eneo Hili Ambayo Itanisaidia Kuboresha Kipato Changu.
Nimeamua Kilileta Swala Hili Humu kwasababu naamini Hakuna Sehemu Nyingine Ambayo Ninaweza Nikapata Mawazo Mazuri Kama Humu JF.
Nawasilisha.
Kwa Kifupi Tu Mimi Ni Mkazi Wa Mbezi-Msuguri, Miez 3 Imepita Toka Nilipoamua Kufunga Ofisi Yangu Ya Biashara Ya Uwakala (M-pesa na Tigo pesa).
Kilichonisababisha Nije Humu Ni Kuomba Msaada Wa Mawazo Baada Ya Kufikiria Sana Cha Kufanya Na Kutokupata Jibu La Kuridhisha, Ni Hivi Hapa Ninapofanya Hii Kazi Yangu Kwa Bahati Nzuri Nilibahatika Kupata Fremu Ambayo Ni Kubwa na Kama Mnavyojua Kuwa Hii Kazi Haitaji Eneo Kubwa Sana, Inahitaji Meza Pesa Na Simu Zako Za Kazi.
Sasa Kinachoniumiza Roho Ni Kuona Nimekaa Katika Chumba Kikubwa Ambacho Kipo Wazi Wakati Ninaweza Nikaongeza Vitu Vingine Ambavyo Vinaweza Kuboresha Kipato
Changu.
Nilikuwa Nahitaji Kuongeza Bizness Ambayo Ni Tofauti Kidogo Na Wafanya Biashara Wengi Wa Eneo Hili Nilipo, Maana Hapa Kuna Wafanyabiashara Wengi Kidogo Wa Maduka Ya Rejareja, Vinyawi, Stationary, Japo Nafanya Na Biashara Kama Ya Kuuza Vocha, Kusajili, Tigo Rusha Vyote Nafanya, Ila Sijaridhika kwasababu Bado Nina Eneo Kubwa Lililo Wazi.
Nilichokuwa Nahitaji Ni Idea Nyingine Nzuri Ya Biashara Ambayo Naweza Kufanya Ya Tofauti Kidogo Na Wafanyabiashara Wa Eneo Hili Ambayo Itanisaidia Kuboresha Kipato Changu.
Nimeamua Kilileta Swala Hili Humu kwasababu naamini Hakuna Sehemu Nyingine Ambayo Ninaweza Nikapata Mawazo Mazuri Kama Humu JF.
Nawasilisha.