Kiukweli tunahitaji marekebisho ya Katiba

Kiukweli tunahitaji marekebisho ya Katiba

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Wabunge kwakuwa wanategemea madaraka ya rais kurudi bungeni, wanaweza kubadili awe hata rais wa maisha. Lakini kwa wananchi hakuna upuuzi huo. Ila machafuko tu ndio yatarejesha utawala wa wananchi.
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Halafu baada ya hiyo 2040, anahamia zake Dubai au Oman! Maana malengo nayo yatakuwa yameshatimia.
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Kwamba yeye ni nani hasa hadi aongezewe muda huo?
 
Sa100 anamalizia Awamu ya pili ya Magu!!!

HATOGOMBEA!!!
 
Back
Top Bottom