Kiungo Debora Fernandes Mavambo atambulishwa kuwa mchezaji moya wa Simba

Kiungo Debora Fernandes Mavambo atambulishwa kuwa mchezaji moya wa Simba

HONEST HATIBU

Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
63
Reaction score
153
1720300559683.png

Simba imemtambulisha kiungo Debora Fernandes Mavambo kutoka Mutondo Stars ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu.

Debora mwenye umri wa miaka 24, ana uraia pacha Gabon na Congo Brazaville, na timu ya taifa anayoitumikia ni Gabon.

#Usajili #SimbaSC #DeboraFernandes
 
Back
Top Bottom